Recent content by Complex1

  1. C

    Dr. Slaa asahaulika CHADEMA

    We need to be dynamic.
  2. C

    Bungeni Leo - Aprili 1, 2015: Bunge laahirishwa ghafla, Muswada wa Vyombo vya Habari kusomwa!

    Wote wamesema hivyo, changia jambo ulifahamulo kk/sster.
  3. C

    Masheikh wapiga kambi Bungeni kushinikiza Mahakama ya Kadhi kupita

    Hadi hapo tu, tayari mmegawanyika kuliko ninyi muonavyo na kujua. NDO MAANA TUNASEMA MAHAKAMA YA KADHI TANZANIA NI MWANZO WA MAKUNDI, HISIA, MPARAGANYIKO NA HATIMA MBAYA YA TAIFA HILI. LEO MTAKATAA KWA KUWA YAMEFICHWA KWENU, KESHO MTAKUMBUKA WAKATI MKILIA NA KUOMBOLEZA NA ITAKUWA NGUMU MNO...
  4. C

    Prof. Lipumba Afikishwa Mahakamani, akimbizwa kliniki ya UN baada ya Afya yake kubadilika

    Huyu ni M/kiti wa CUF, ambao ni washirika ktk SMZ, kwa msingi huo mmoja tu ni kiongozi mkubwa ktk Taifa hili, lakini ndo katendwa hayo!! Mhh!! KAMA WANAWEZA FANYA HIVYO KWA MTI MBICHI JE MKAVU?? Nadhani hawatendi jema kwa kuwa wataiwasha moto nchi hii!! Kuna siku watu watasema baasi itakuwa...
  5. C

    Yaliyojiri Ubungo Plaza kwenye Kongamano la iliyokua Tume ya Kukusanya Maoni ya Jaji Warioba

    Hatua kali za kisheria sio waliotenda fujo tu pale ukumbili, bali muasisi wa fujo hizo ndiyo ashughulikiwe ipadavyo.
  6. C

    Yaliyojiri Ubungo Plaza kwenye Kongamano la iliyokua Tume ya Kukusanya Maoni ya Jaji Warioba

    Kwa mtu anayefuatilia mambo, ukihusianisha na yaliyojiri wakati Warioba akiendelea kutoa mada, fujo hizo kwa vyovyote haziwezi kuanzishwa na UKAWA bali CCM tena si kwa maslahi ya umma bali ya CCM WENYEWE. Najua wako wataka pinga kwa mapenzi yao lakini kama UKWELI NFO HUO, FUJO HIZO ZIMEASISIWA...
  7. C

    Serikali ipige marufuku makanisa ya kilokole

    Hakuna tatizo kwa MAKANISA; Nahisi kuna tatizo kwako, ndiyo na kwa mkeo pia. TAFUTENI MCHUNGAJI AWASAIDIE.
  8. C

    FIB Tanzania (special forces in Congo) yaichukua ngome kuu ya M23!

    Ni kipigo tu. Well done TPDC.
  9. C

    List ya mawaziri wetu wanaoweza kuongea fluent english

    jameni mtz wala si fahari kuongea kiinglishi nadhani tujivunie kiswahili lugha yetu au vp??
Back
Top Bottom