Hadi hapo tu, tayari mmegawanyika kuliko ninyi muonavyo na kujua. NDO MAANA TUNASEMA MAHAKAMA YA KADHI TANZANIA NI MWANZO WA MAKUNDI, HISIA, MPARAGANYIKO NA HATIMA MBAYA YA TAIFA HILI. LEO MTAKATAA KWA KUWA YAMEFICHWA KWENU, KESHO MTAKUMBUKA WAKATI MKILIA NA KUOMBOLEZA NA ITAKUWA NGUMU MNO...
Huyu ni M/kiti wa CUF, ambao ni washirika ktk SMZ, kwa msingi huo mmoja tu ni kiongozi mkubwa ktk Taifa hili, lakini ndo katendwa hayo!! Mhh!! KAMA WANAWEZA FANYA HIVYO KWA MTI MBICHI JE MKAVU?? Nadhani hawatendi jema kwa kuwa wataiwasha moto nchi hii!! Kuna siku watu watasema baasi itakuwa...
Kwa mtu anayefuatilia mambo, ukihusianisha na yaliyojiri wakati Warioba akiendelea kutoa mada, fujo hizo kwa vyovyote haziwezi kuanzishwa na UKAWA bali CCM tena si kwa maslahi ya umma bali ya CCM WENYEWE. Najua wako wataka pinga kwa mapenzi yao lakini kama UKWELI NFO HUO, FUJO HIZO ZIMEASISIWA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.