Mcharo naaamini hata si mkatoliki. Hapa anayafuta kiki ila kwa njia mbaya ka kujenga chuki. Hana lolote mpuuze tu.
Sent from my H8501 using JamiiForums mobile app
Acheni mahaba niue kwenye ukweli. Supplier wa jeshi kukutwa na material ni kosa wakati ana mikataba halali? Hii kesi nayo anawapiga chini. Akifungua kesi ya madai ya fidia serikali ikishindwa wanalipa KIMYAKIMYA. Matumizi mabaya ya kodi za wananchi.
Hivyo vitambaa vya sare za jeshi na mihuri sio issue kwake maana yeye ni supplier, waishakosea hapo, napo ataruka. Watafute kosa lingine. Shida ya polisi wenu wanatengeneza kesi za kutumwa wakienda mahakamani wanashindwa kuzitetea ndiyo maana Manji anataka apelekwe mahakamani.
ACT ni fisiem B. Hao sio wapinzani, ni waigizaji maana wana kadi na ni wanachama wa fisiem. Nasema hivyo maana MKULU alishatamka kwamba hawezi kuchagua viongozi toka upinzani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.