Recent content by Commodores

  1. Commodores

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Raila Odinga Kujiunga Jubilee William Ruto Kujiunga NASA

    Kuelekea uchaguzi mkuu wa Kenya 2022 kuna dalili wazi kama kawaida kwa siasa ya Kenya kutakuwa na mabadiliko ya viongozi wawili Raila Odinga na William Ruto kubadilishana vyama. Jana nyumbani kwake Karen jijini Nairobi William Ruto alifanya mazungumzo na viongozi wa NASA kutoka Magharibi ya...
  2. Commodores

    JamiiForums Tanzania Official of Ghana's main opposition party faces treason charges over 'civilian coup' comment

    Kuna dalili kubwa kwa bara la Afrika kuondoka kwenye mfumo wa kidemokrasia na kurudi mfumo wa chama kimoja . Kiongozi wa chama cha upinzani Senegal Khalifa Sali amefungwa jela miaka 5 kwa kesi iliyofunguliwa dhidi yake ya kutakasisha fedha akiwa Meya wa Dakar, huyu kiongozi wa upinzani ndio...
  3. Commodores

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapato ya Utalii Tanzania yaongezeka Kutoka $2.1b to $2.2b

    Kuongezeka kwa mapato kunatokana serikali kudhibiti mapato na kuweka rekodi nzuri ya idadi ya watalii wanaoingia nchini.
  4. Commodores

    JamiiForums Tanzania Ndege ya Tanzania aina ya Bombardier Q400 iliyokuwa imezuiliwa nchini Canada kutua nchini wakati wowote

    Watanzania hatutaki ndege tunataka amani na upendo. Msigwa usifikiri ujio wa ndege uta divert akili za watanzania kuwasahau viongozi na wabunge wa Upinzani waliopo jela. Freedom is coming.
  5. Commodores

    JamiiForums Tanzania Baba wa Taifa: Sikujenga Taifa la watu waoga sana kama matokeo yake ni hayo Mwenyezi Mungu anisamehe sana

    Quote from Mwalimu CCM sio mama wala baba yangu
  6. Commodores

    JamiiForums Tanzania Profesa Mussa Assad ameomba radhi wananchi na Serikali juu ya taarifa ya deni la taifa

    Under Marshal Law hakuna kinacho shindikana.
  7. Commodores

    JamiiForums Tanzania Profesa Mussa Assad ameomba radhi wananchi na Serikali juu ya taarifa ya deni la taifa

    Ustaadh ajitayarishe kuwa Imam wa msikiti wakati wowote
  8. Commodores

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dah! Wabongo wamepiga 194 billions kwa utafiti hewa kwenye shirika la reli

    Hii miradi ya standard gauge railway itatugharimu sana. Waziri makame Mbarawa ajibu hizi tuhuma hizi pesa zipo wapi. Haiwezekani kuona fedha za walipa kodi zikipotea.
  9. Commodores

    JamiiForums Tanzania Kufuatia mazingira mabaya ya biashara, Moil yafunga biashara Tanzania yahamia uganda na Congo

    Mkuu wafanyabiashara wengi wakubwa waliingia kwenye siasa ili kunufaika na ukwepaji kodi. Sasa International Companies kama Total, BP, nk zimerudi kufanya biashara hapa Tanzania na zinalipa kodi vizuri sana. Kampuni kama MOIL ilinufaika sana kwenye kukwepa kodi kwahiyo ile biashara ya ujanja...
  10. Commodores

    JamiiForums Tanzania Kufuatia mazingira mabaya ya biashara, Moil yafunga biashara Tanzania yahamia uganda na Congo

    Tanzania haliwezi kuendelea kuwa taifa la wakwepa kodi. Wacha aende Congo
  11. Commodores

    JamiiForums Tanzania BAKWATA na Waislamu wengine, kila kitu kinachofanywa na Serikali kiko sawa kwenu?

    Taifa hili haliendeshwi kwa mjibu wa Dini yeyote ni vizuri Bakwata waendelee kuwa kimya na kuacha taasisi zingine zilizoathirika kwa kiasi kikubwa na utendaji mzuri wa Rais Magufuli walalamike.
  12. Commodores

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti CHADEMA Wilaya ya Tarime: Maisha Yangu yako hatarini

    Hiyo inaiitwa 'crying wolf'
  13. Commodores

    JamiiForums Tanzania Juliana Shonza tulikuonya ukapuuza, sasa UVCCM wanakung'oa

    Alifikiri anapambana na Chadema kumbe wafanya kampeni wakubwa wa CCM.
Back
Top Bottom