Waliobaki wote ni wenda wazimu na ndo maana wankuwa mizigo kwa serikali hii...viongozi wengi wa serikali ya chama cha mapinduzi ni bogus,natamani mwal.asingetutoka mapema hivyo jamani,je,wako wapi akina mwalimu kama Nyerere?pinda huwaanjisifu tu kuwa kafanya kazi chini ya mwalimu kwa muda mrefu...
Hivi hawa mbwa mbona wanahangaika sana jamani?Mwigulu unayasikia hayo,Voda wamekuwa wanatumiika kwenye matukio makubwa mabaya sana,Kumbuka tukio la Lema kutishiwa na RPC wa Arusha,baadae voda wakasema eti hiyo namaba ni nje ya nchi..
Ur thoughts determines a very simple mind of urs brother,biashara zimeharibika sababu ya kupiga watu,watu wamkufa sababu ya police,wewe pia ni mpumbavu kwa kuunga mkono upumbavu,huna akili timamu wewe.
Wewe huna akiri hata moja pia,hivi huoni ni ajabu kwa waziri mkuu kutoa kauli ya kishenzi kama ile,yale Pi..n.da ndo hana adabu kwa watanzania,waziri mkuu anavunja sharia za nchi ndani ya bunge,avunja sharia ya police na majukumu yao kwa taifa..Waziri mkuu hana mamlaka ya kuamuru police wapige...
Hivi Lema ni serikali wewe kijana,hivi mbona vijana mnaakiri fupi mno!? Mbuge hajengi barabara bali anaisimamia serikali,lakini je,serikali ya kikwete inasimamika lakini? sasa hesabu kwamba kwanza umwulize kikwete kuwa zile ahadi vipi?maana aliajhidi mwaka 2006 kuwa umeme baada ya mwwka mmoja...
Wale watu wote wanaoeneza kwamba eti chadema ndiyo wanaouwa watu wao...hivi kweli mtu mwenye fikira kama hizo anakiri timamu kweli? kama anavyoongea Mwigulu Nchemba,hivi mwigulu unahuruma kwa watanzania na taifa hili kweli,kweli umri wako kila kukicha unaongea utumbo na uchochezi wa kisiasa na...
Mwanadiwani nina wasiwasi na utimamu wako hata ktk kuendesha maisha yako tu...maana kwa mtu intellectual hawezi toa hoja nyepesi kama hii,kama hamna uwezo wwa kujenga hoja kaka soma vitabu ili uone watu wenye akiri timamu hufanyaje ktk kutoa hoja.
Hivi Juma Nkamia mnazani anakaili hata moja?yaanai yeye tama zake kuwa kiongozi ni kuwa mwezi mpotoshaji na kufanya mabishano yasio na tija ktk jamii na serikali kwa ujumla wake...he's just bogas MP
Hivi mwizi atashindwaje kumpa mwenziwe ulaji,kwani yeye Kikwete amechakza vitoto vingapi mpaka leo,anatembea na mabinti kama kajizila...inshort ni kwamba Kadege na Kikwete sawasawa kabisa wote ni malaya wa kutupwa...ila Dr.angaliwe sana hapa mbozi tutzaa na wewe unatufanya hatuna akili...
Ushauri kwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania,
Kadege ameshindwa kuingozi mbozi hasa kwa kutumia mababvu baadala ya diplomasia,hapaa kwetu mlowo imekuwa ni kawaida kupigwa mabomu,maana wamemtuhumu kuwa mbadhilifu,wakati shule zilizop[o hapa mlowo zinahudumiwa na kijiji na maisha yanaenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.