Wengine huwa washakusoma na wakagundua kuwa wewe ni kicheche, sasa anaamua kukuacha uende zako kwa sababu yeye hakuwezi, au unaonekana ku-demand vitu vya ela nyingi alafu mjamaa hana cha kukupa.
watunga sera wanashindwa kuelewa, elimu sio majengo!! elimu ni walimu bora wenye hamasa ya kufanya kazi, warekebishe hili, tatizo kubwa la elimu litakuwa limekwisha.
Lara1, ninavyosoma hizo post zako inaonesha kwamba unajiona ni expert mkubwa katika 6x6, na kwa vile umeanza kuwasema wanaume wa JF, kuna uwezekano hata mwanaume atakaye kuoa na mwenyewe pia utamkosoa utakuja kumwabia "baby chomeka hivi, alafu move.. move baby...! up.. down..up...down"
Wanawake fikirieni hili, kukubali kuolewa na mtu ambaye ana pesa nyingi lakini haukumpenda hata kidogo, kuna wakati mwingine huwa inatokea!!hiki kitendo mimi kinanisikitisha kwa sababu ijapokuwa watoto wa mjini wanasema pesa ni kila kitu lakini ni ukweli kwamba pesa haiwezi ikatatua kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.