Bado iko juu kuliko Airtel Kenya kwa same router na pia router ni free mtu analipia subscription tu ya mwezi.
40mbps ni Ksh 4999 roughly kama Tsh 99,000 ushindani kule mkubwa sana kuna kampuni nyingi sana za fiber.
Kuna kampuni hadi zinatoa plan za siku kama 5mbps, 8 mbps, na unlimited...
Bila shaka kuna wenzangu tutakumbuka zile jioni nzuri nzuri zama za Voice of Kenya kabla haijawa KBC kupitia vioja mahakamani
https://youtu.be/1KpEFpziEZA?si=99dHDV6IwxS1XF4y
Wamekufungia sababu ya impersonation[kujifanya mtu fulani ambaye anatambulika kumbe sio wewe] ambayo ndio hiyo brand iliyotambulika [verified] kwa kesi yako ni wanadai wewe ulisema ni mwakilishi wa hiyo brand
Ili uepuke hiyo ungesign account yako kama Parody/Commentary waliiweka hii option...
Upo sawa kabisa Dubai ina mchanganyiko wa mataifa , hata kuna moja ya Supermarket moja nilitembelea January wanauza pork hicho chumba kimeandikwa "Non-Muslims Only" hivyo hadi umeingia humo maana yake umeenda kwa hiyari yako.
Na nilikuta wana variety nyingi sana ya pork hata vitu ambavyo...
Gone are the good days ID yangu ya zamani ilifyekwa ila majukwaa mengi yamepwaya baada ya wakongwe kujitoa kwa kuacha kuchangia kutokana na kundi rika jipya lenye utamaduni wa matusi na kebehi kuliko hoja hii inatokana na mfumo wa elimu wanaoutumia kwa sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.