Wazo pekee mtafute Polisi mlengeshe kwa Jamaa hata apate mushkeli kwa wa ndani kwa masaaa 3 then muandikishane kua unaichukua simu kwa muda till akimalizia helake then unamrudishia mbele ya Kamanda huku anakua ashapata mabanzi ya kutosha.
Si vizuri kukopesha marafiki, ni vizuri kusadiana kwa...
Tuliambiwa SGR ya Dar to Dom itakua tayari around Disemba 2022 ila mpaka sasa hamna chochote, tunahitaji majibu kuhusiana na hili jambo mana uwepo wake ni msaada tosha kwa wanaosafiri kutoka Dar kwenda Kahama, Mwanza, Kigoma au Bukoba.
Habari,
Naomba msaada wa kufahamishwa wapi naweza pata vitambaa vizuri vya sofa vinavyodumu kwa muda mrefu na bei yake.
Nitashukuru sana kwa msaada wenu.
Ahsante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.