HISTORIA: MFAHAMU "BUSHMAN" MCHEZA FILAMU MAARUFU ZAIDI KUWAHI KUTOKEA BARANI AFRIKA.
Jina lake halisi anaitwa Nixau. Inakadiriwa alizaliwa kati ya mwaka 1943 au 1944, kwani yeye binafsi hakuwa akijua umri wake. Alikuwa ni mzaliwa wa nchini Namibia kijiji cha Tsumkwe katika Jangwa la Kalahari...
PETER TOSH, ALIKUWA MTU WA KUUAWA TU(a man who must be killed), KWA SABABU ALIKUWA MTU NA NUSU, HAKUWA MTU WA KAWAIDA
Bunny Wailer amnyooshea kidole mjane wa Bob Marley, Rita Marley.
Ulikuwa ni usiku wa joto jingi katika mji wa Kingston nchini Jamaica. Usiku ambao haukukomaa saana tangu jua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.