Kama una ww si target acha kuuliza maswali ya kijinga . Ndio maana Kuna watu wanasomea marketing na wengine wako vizuri bila kusomea . There all needed in company. Kwann sasa those who do marketing wasifanye marketing ya bidhaa zao wenyewe instead wako employed. So don't interfere people's business
Habari,
Nahitaji graphics design mwenye outstanding skills.
Requirements
1. Lazima awe na uzoefu na skills na software mbali mbali za design.
2. Lazima aweze kutafuta masoko / marketing na kufikia malengo.
3. Awe na ushirikiano na team members na kukamilisha kazi Kwa wakati.
Mashahara: 300k...
ivyo si issue. Cha muhimu Dalal au mtu anayejua sehm dar yenye mazungira mazuriii Kwa office ndan ya budget tajwa Kwa mwezi !! Anichek maelezo mengine tutaongea . Wastan office ya watu 3
Habari wakuu
Mimi ni kijana.
Nataka kufungua stationery niweke na kazi za graphics design ndani yake. Naombeni Ushaurii Cha kuongeza au mwenye uzoefu na hii biashara na mpango wa kufanyia Dar es salaam. Japo fremu Bado sijapata
Hello,
I need two to three web developer ( WordPress Developer)
Requirements:
1. )You must have good design skills
2.) You must know how to use elementor
3.) Be able to do any project with wordPress
4.) I you some php will be added bonus.
5.) Currently not employed and available in Dar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.