Recent content by Codexdave

  1. Codexdave

    JamiiForums Tanzania Bingwa wa 'software' anahitajika

    Bro naomba nipe nikuchek inbox juu ya hilo wazo
  2. Codexdave

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kupata Visa ya Sweden au ukanda ule kwa anaejua?

    Je mnakibali Cha TCU ?!
  3. Codexdave

    JamiiForums Tanzania Je, una experience ya sales kwenye printing and designing?

    Wrong number
  4. Codexdave

    JamiiForums Tanzania Je, una experience ya sales kwenye printing and designing?

    Nitumie namba zako ntakuchk kesho
  5. Codexdave

    JamiiForums Tanzania Je, una experience ya sales kwenye printing and designing?

    Bado unaitaji kazi !??
  6. Codexdave

    JamiiForums Tanzania Graphic Designer needed

    Kubwa apo anaitajika mtu wa marketing mwenye skills za design pia . Kama ww una uhitajiii Kaa kimwa Mzee acha ku interrupt Kaz za watu
  7. Codexdave

    JamiiForums Tanzania Graphic Designer needed

    Kama una ww si target acha kuuliza maswali ya kijinga . Ndio maana Kuna watu wanasomea marketing na wengine wako vizuri bila kusomea . There all needed in company. Kwann sasa those who do marketing wasifanye marketing ya bidhaa zao wenyewe instead wako employed. So don't interfere people's business
  8. Codexdave

    JamiiForums Tanzania Graphic Designer needed

    Habari, Nahitaji graphics design mwenye outstanding skills. Requirements 1. Lazima awe na uzoefu na skills na software mbali mbali za design. 2. Lazima aweze kutafuta masoko / marketing na kufikia malengo. 3. Awe na ushirikiano na team members na kukamilisha kazi Kwa wakati. Mashahara: 300k...
  9. Codexdave

    JamiiForums Tanzania Graphics designer mwenye uzoefu na masoko anahitaji haraka

    Nitumie cv yako kiongoziii nione
  10. Codexdave

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi IT na Graphic Design

    Ni tumir namba zako inbox
  11. Codexdave

    JamiiForums Tanzania Natafuta sehemu ya office

    ivyo si issue. Cha muhimu Dalal au mtu anayejua sehm dar yenye mazungira mazuriii Kwa office ndan ya budget tajwa Kwa mwezi !! Anichek maelezo mengine tutaongea . Wastan office ya watu 3
  12. Codexdave

    JamiiForums Tanzania Natafuta sehemu ya office

    Habari wandugu ! Natafuta sehemu ya office size ya kati tu . Maeneo ya Dar ! Budget yangu 300k kama unajua jengo au sehem plz msaada
  13. Codexdave

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Stationery

    Asante Kwa ushauri
  14. Codexdave

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Stationery

    Habari wakuu Mimi ni kijana. Nataka kufungua stationery niweke na kazi za graphics design ndani yake. Naombeni Ushaurii Cha kuongeza au mwenye uzoefu na hii biashara na mpango wa kufanyia Dar es salaam. Japo fremu Bado sijapata
  15. Codexdave

    JamiiForums Tanzania Web Designer Needed

    Hello, I need two to three web developer ( WordPress Developer) Requirements: 1. )You must have good design skills 2.) You must know how to use elementor 3.) Be able to do any project with wordPress 4.) I you some php will be added bonus. 5.) Currently not employed and available in Dar...
Back
Top Bottom