Recent content by code_cobar

  1. code_cobar

    Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Biashara gani naweza kufanya nikiwa na kiasi icho cha fedha nipo morogoro na ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa kwanza.
  2. code_cobar

    Finally: Nimeanza rasmi kilimo cha miti ya mbao Iringa

    Kaka hongera sana hii ilikua plan yangu ya mwaka 2016 ila nikashindwa Kwa sababu Fulani Fulani. Kaka naomba msaada wako plzzzzz namba yangu 0712311581 naomba nichek kaka yangu nitumie hata msg
  3. code_cobar

    Wanafunzi waliokosa mikopo kukata rufaa ndani ya miezi 3

    Kwahiyo apo inamaana kutakuwa na second batch au?
  4. code_cobar

    Mada maalum: Karibu tujadili masuala yote kuhusu Mikopo ya Elimu ya Juu

    Daah hatar darasa langu weng wamepata kasoro mm
  5. code_cobar

    Mada maalum: Karibu tujadili masuala yote kuhusu Mikopo ya Elimu ya Juu

    Hivi kuna second batch kwa sisi tuliokosa 1st batch?
  6. code_cobar

    Sokoine University Of Agriculture.

    Nimekuelewa mkuu natambua wajibu na hiyo agribusiness inazungumziwaje apo chuoni.
  7. code_cobar

    Sokoine University Of Agriculture.

    Mbona umesema hivo mkuu unamaanisha ni field rahisi hiyo agribusiness?
  8. code_cobar

    Sokoine University Of Agriculture.

    Unamaanisha jinsia yangu , ok mimi ni mvulana.
  9. code_cobar

    Sokoine University Of Agriculture.

    Habari za sa hizi wanajamvii huu Uzi ni kwa ajairi ya applicants walio chaguliwa sua au kwa yeyote anayesoma au ata kukifahamu hiki chuo vizuri Lengo Ni kujua changamoto za pale na jinsi gani tutaweza kuzitatua sisi tunao jiandaa kwenda kujiunga mwaka wa masomo 2016/2017 Mimi binafsi...
  10. code_cobar

    Waliochaguliwa Agronomy tukutane hapa

    Agribusiness sua apo najiandaa nayo...
  11. code_cobar

    Nahitaji kuifahamu B.A. Economics ya UDSM

    Watu bhana , sasa wewe ndo ujuh kuchanganua hayo mambo Jifunze kauli nzuri
  12. code_cobar

    Nahitaji kuifahamu B.A. Economics ya UDSM

    Kazi gani unaweza fanya ukihitimu hii course mkuu
Back
Top Bottom