Recent content by code my language

  1. C

    Xiomi Redmi note 12 4G Vs Samsung Galaxy note 9

    Umejiona sasa ulivyo punguani wewe hata siku moja vitz haiwez kuwa sawa na evogue utalalamika tu inakunywa sana mafuta na ndivyo zilivyo kwa simu pia haziwez kuwa sawa hata kimatumizi
  2. C

    Xiomi Redmi note 12 4G Vs Samsung Galaxy note 9

    Sio kwa iphon labda samsung iphone ya 2019 bado inapata ios update tena mwaka huu na mwakani endelea kujipa moyo na hizo tecno zako NB iphone inapata ios update kwa miaka 6
  3. C

    Xiomi Redmi note 12 4G Vs Samsung Galaxy note 9

    Kama umeshindwa kununua iphone chukua samsung naona utojutia uamuzi hizo brand zingine ni tia maji
  4. C

    Simu yenye Camera Bora tafadhali

    Iphone 14 pro max kwa budget kubwa kwa budget ya kawaida pixel 7 pro iphon 13 pro series na 12 pro series zinabonda picha sana
  5. C

    Kwa watumiaji wa Google Pixel

    Then there is xiaomi that doesnt detect any moisture
  6. C

    Kwa watumiaji wa Google Pixel

    Mtafute huyo jamaa hapo yuko infinix tower pale namb zake hizo kweny bio hapo ana pixel zimenyooka sana
  7. C

    Kwa watumiaji wa Google Pixel

    Mbn sent from pixel 3[emoji23]
  8. C

    Kwa watumiaji wa Google Pixel

    Kuna demu mmoja aliwah kununua iphone 11 alinunua ikiwa na battery health ya 100 ndani ya wiki tatu ikashsha had kufika 84 yani ilikuwa haikai chaji kabisa akaja ofisin pale kuniuliz juu ya hilo tatiz nikamuuliz amenunua wapi hiy sim akaniambia kuna jmaa mmoja anamwamini sana anauza sim...
  9. C

    Kwa watumiaji wa Google Pixel

    Ww umefafanua vzr kabisa hii pixel yangu ninautumia bil wasws na niko mbion kwenda kweny kweny p7 maan utamu umenikolea yani numetumia sim nying kampun nying ila pixel kwakwel ni adicted wana vioo vizur sana na iko simple mnoo nimeona kuna mdau anasem pixel 3xl ni ya kipuuzi at the same time...
  10. C

    Kwa watumiaji wa Google Pixel

    Maoni ya busara kwa leo. Uzi mfupi • Kama wewe ni Fan/shabiki wa kitu au kampuni flani, unatakiwa ujue kuheshimu mawazo ya watu wengine, unatakiwa ujue kutofautisha kizuri na kibaya, unatakiwa ujue kutofautisha Facts/ukweli na Opinions/maoni. Acha kuhoji na kubeza maamuzi ya watu, ingawa...
  11. C

    Kwa watumiaji wa Google Pixel

    Ndo nilikuwa namuambia huyo mdau hapo hiz 3 series ziko vzur sanaaa na ndio nimeanz kutumia ila kweny 4 series ni 4XL na 4a 5g ziko poa sana ukija 5 kwenda juu huko ndo burudan mno
  12. C

    Kwa watumiaji wa Google Pixel

    Mtu hawezi kutumia iphone xs max yake ilikuwa kimeo haikai chaji akahamia brand ingine akaanza kutukan iphone zote kuwa sio nzuri Au umetumia samsung s4 au s6 edge unaanza kusem samsung kuwa hazikai chaji [emoji2] Vivyo hivyo kwa pixels
  13. C

    Kwa watumiaji wa Google Pixel

    Wewe umesem umetok pixel kwend infiniksi sabb ya chaji nikakuuliz 4 varients za pixel ziko nne yani 4 plain 4xl 4a na 4a 5g(hii ilitokan baadae kipind pixel 5)ulitumia zote je ukuona utofaut kabisa au kutokujua nikja kuuliz kweny 3 series ziko 4 yani 3 plain 3xl 3a 3aXL(hii inakaa chaji kulik...
Back
Top Bottom