Anaongea bila kufikiri huyo ,anaweza akavaa tu mtu t-shirt kama y bakabaka yuko kweny Gari akasimamishwa n traffic asisimame, hapa mtakuja kusema mjeda kakataa kusimama.
Fikiria tena ndo ujibu ,unaongea bila kufikiria, hata kibaka anaweza iba kavaa nguo ambazo zinafanana na za jeshi ila ww kwa kumuona kwa mbali utasema moja kw moja ni mjeda ,
Tafsiri yake nn watu watakua wanasema ni wanajeshi wanaofanya matukio hayo y ajabu ajabu.
Ishu no Jeshi kupakwa matope...
Yesu sio nabii nenda kasome Yohana 14 yoteee ,anasema Yesu mwenyewe yy ni nani unless otherwise huamini ktk Biblia,
Ila kama una amini ktk Biblia basi pasi nashaka Yesu ni Mungu ,yaani Mungu Mwana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.