Nenda hospital utapata majibu chanzo cha ugonjwa na tiba,ila kwa huduma ya kwanza nunua medioral duka lolote la dawa sukutua nayo,maelezo atakupa muuza dawa.pole upone haraka
A simple way and cheap chukua gazet au bahasha za kaki,fungia karoti zako then weka kwenye mfuko wa magufuli,weka kwenye friji,hata mwezi zinakaa mpaka utakuta zinataka kuota haziozi ,ila hoho ni changamoto kidogo nazo fanya hivyo hivyo
Kwa nini usendeshe gari yako mwenyewe,deal za kuchukua wagen toka airport to any hotel ziko wazi na nying znz,pili kwa nini usipangishe nyumba yako.watu wengi wanaofanya kazi za ma hotl znz hupanga chumba kimoja kimoja. Shamba anza ukulima kuliko kuuza.hivyo vitu ulivyonavyo ni asset nzuri...
Yaan huyo alitakiwa kuwa hospital saa hii akiongezewa damu,tena mama anaenyonyesha ni hatar,akiweza kuosha tembele na maji uvuguvugu asage kwenye blender anywe kadri awezavyo ndani ya wiki tu damu itaongezeka ila asiache dawa za hospital ni muhimu.
Jitahid kumbeba began yaan mkumbatie kichwa chake kilale juu ya kufua ili apumue kutoa ges,na ukimlaza kitandan mlaze kwa tumbo,gesi inamsumbua ndo maana anashindwa kulala na kunyonya vizur,kila akimaliza kunyonya acheulishwe ndo alale
Nilitumia dawa za presha na aspirin junior,tangu wiki ya 12,na nilipofikisha wiki 30nilichomwa sindano za dexamethasone,sikupona ilazilinisaidia kusogeza siku mpaka wiki 37mtoto akatolewa,nikaendelea na dawa hadi 49dayys,prsha ikawa stable nikaacha,case hii inahitaji a serious gynecologist...
Kawida presha humpata mjanzito kabla au baada ya kujifungua,na hii husababisha pre eclampsia,hivyo walipompa dawa alitakiwa kumeza mpaka siku 40,au hadi pale daktari atakapo ridhia presha imekaa sawa,huku kutokufata mashart ni kubaya atapotea ukimuangali,na presha mbaya ni ile baada ya...
Genetics,kwa ushaur zaidi tembelea hizo hospital nilizokwambia wao wanajua zaidi,na km ndo yenyewe wanajua namna ya kuitibu na akaishi,Ila atapata upofu jicho lilioathirika ndo maana tiba ya mapema ni Nzuri zaid,au labda ni kitu kingine,hospital wanajua zaid,nenda
Kuna cancer ya macho ambayo huwapata watoto wakiwa tumboni na ni ngumu kutambua hata akizaliwa miezi ya mwanzo pia huwez jua,mpaka vipimo labda ndo hiyo jaribu vipimo Mhimbili au kcmc,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.