Hizi ni habari za uhakika za ndani kabisa kuhusu kuacha kazi kwa Majaji wawili na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.
1. Ndg. Saidi Meck Sadiki - Aliyekuwa mkuu Wa Mkoa wa Kilimanjaro
Ukweli ni kuwa anakabiliwa na kesi mbaya sana ya hela hewa za usafi alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam...
Kwa kuwa umenitukana wakati tulishasali na kurudi majumbani, naanza kusali kukuombea japo uwe na busara kidogo tu hata ya kuishauri familia na rafiki zako.
HUNIJUI
Hivi wewe ni muongo au kuna nini kimekusukuma kusema hayo - kati ya Pinda na Magufuli yupi aliyeenda kimya kimya au Jaji Ramadhani, au yule Mkulima wa Kigoma???
Eti huyu Makamba atamaliza tatizo la msongamano kwa njia ya PPP kujenga reli zikiradiate kutoka ktikati ya jiji kukiwa na vituo vyenye real estate kama ilivyo ulaya na hao wawekezaji watapata mrejesho wao kupitia humo - nilicheka sana siku hiyo, pure theory! sidhani kama anaijui PPP vizuri au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.