Recent content by Cobra70

  1. Cobra70

    JamiiForums Tanzania Maneno Kuntu kutoka Msemaji wa Jeshi la Madagascar " Haya sio Mapinduzi ni Kitendo cha Uwajibikaji"

    Dah! Inauma sana JW wapo busy kulinda mipaka ili adui wa nje hasituue wakati adui yumo ndani anatuua sasa hiyo ina maana gani? JW kwa hili mtusaidie anaeuawa na anayeua nani ni mzalendo na ni nani kati ya hawa wawili ni adui wa nchi?
  2. Cobra70

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Diamond Platnumz: Fanyeni kazi, acheni lawama, kila awamu, kila uongozi mnalalamika

    Hili jamaa inatakiwa tuliaunfollow na East Africa nzima tueneze propaganda ya kulikataa kuwa ni lisaliti la wazalendo.
  3. Cobra70

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salum Mwalimu: CHAUMMA ikishika dola, itabeba gharama zote za timu itakayoshiriki Michuano ya Klabu bingwa Afrika

    Mpira bila kula ubwabwa hatutoboi mheshimiwa wa ubwabwa.
  4. Cobra70

    JamiiForums Tanzania Ni wazi sasa Polepole yuko kwenye mapambano rasmi

    Mwamba atakuwa VATCAN nn? Sio JESUIT kweli?
  5. Cobra70

    JamiiForums Tanzania Amin nawaambieni, ikiwa Samia ataendelea kuwa na Wanamtandao na akashinda Uraisi, raisi wa Tanzania ajae baada ya Samia atakuwa Rizi One

    Naye ni mtanzania shida ni nini? Au kwa kuwa ni wakishua? Mbona mtoto wa Mwinyi ni raisi na anafanya vizuri?
  6. Cobra70

    JamiiForums Tanzania Barua ya Lissu kwenda kwa Dkt. William Leo

    YANGA + SIMBA= UPUMBAVU WA WABONGO. Wahuni wekezeni sana kwenye boli mzidi KUWAPUMBAZA na kuongeza WAJINGA! Ichoteni nchi sana wao wakikaa kubishana boli. Kila siku weka waandishi wa habari machawa wa kuibua agenda na hoja mbalimbali kujadili ball la YANGA na SIMBA, Lissu, Polepole, Gwajima...
  7. Cobra70

    JamiiForums Tanzania GE2025 Watibeli tunaiomba Serikali kumuachia Tundu Lissu Septemba kabla ya Septemba 7

    Mungu naomba umnusuru Lissu ainuke na alikomboe taifa dhidi ya majambazi, machawa na vibaraka zao. Ee Mungu naomba utende muujiza Majambazi, vibaraka zao na machawa wao waangamie na wasitoboe mwaka huu Amen.
  8. Cobra70

    JamiiForums Tanzania GE2025 Aliyekuwa Kamishna wa Jeshi la Polisi, Jamal Rwambow ajiunga na ACT Wazalendo

    Luaga awe makini huyo kirusi
  9. Cobra70

    JamiiForums Tanzania GE2025 Serikali muviimarishe vyombo vya ulinzi na usalama kwa wakati huu wa uchaguzi hali ni tete mtaani rushwa imetamalaki

    Mimi nawaza hivi taasisi nyeti za serikali kuna watu wameziua kimaksudi kwa kuajiri watu kiundugu au kwa utashi wa kisiasa! Pia napata shaka mamlaka ya vetting hivi kweli nchi hii hatuna watu SMART na wazelendo kwelikweli? Kwa sasa nahisi wahuni na watu janjajanja nyingi wanafanikiwa kupenya...
  10. Cobra70

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hawa watia nia wa CCM wanaogawa pesa kabla majina hayajarudi wana uhakika gani?

    Sema asilimia kubwa ya wajumbe hawana akili timamu wangekuwa na utimamu wa akili hayo ni ya kuyanyima kula.
  11. Cobra70

    JamiiForums Tanzania Mishahara mipya: Samia Kaongeza Tsh. 90,000 tu basi! hii ni dharau sana kwa wafanyakazi

    Mh. Raisi amejitahidi sana shida hapo ni makato, ongezeko la kodi kwenye bidhaa na mfumuko wa bei, unaongezewa 30000 unalipa 100000
  12. Cobra70

    JamiiForums Tanzania Freeman Mbowe apata picha ya kipekee na Rais Samia

    Kutoka KUB hadi MWT( Mwenyekiti wa Wasaliti Tanzania)
  13. Cobra70

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya watoto wa maboss huwanyanyasa kingono wasaidizi wa kazi za nyumbani

    Halafu pia kuna watu wanapenda kusubiria kupanda vyombo vya usafiri vilivyojaa yaani watu wamesimama ili wawakumbatie wengine na hili mliangalie mana dunga dunga wanazidi kuongezeka kwa kasi hao wanaojiita kataa ndoa.
  14. Cobra70

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya watoto wa maboss huwanyanyasa kingono wasaidizi wa kazi za nyumbani

    Mh. Waziri angalia na hawa ambao ni wateja wa baa wakiona wahudumu wa kike wa baa wao ni kuwashikashika bila lidhaa zao kwa nadharia kuwa kutokana na kazi zao pia watakuwa wanajiuza.
Back
Top Bottom