Recent content by Cobra70

  1. Cobra70

    Hivi ni ofisi za nini?

    Humo hakuna maajabu Kuna kiwanda cha kaunda suti tu.
  2. Cobra70

    Ongezeko la bei ya mafuta: Je, Bunge lina meno ya kuiwajibisha EWURA?

    Mkilitegemea BUNGE kuwatetea mwafaaa mana wabunge wengi ndio wafanyabiashara ya mafuta.
  3. Cobra70

    DOKEZO TAHADHARI: Afisa TRA ahatarisha maisha ya wakazi Mbezi Juu Kwa Sanya kwa kujenga ghorofa 4 bila kibali, kwenye msingi dhaifu wa nyumba ya chini

    Umejuaje kuwa huyo ni janja janja? Unapopata hela jaribu kula, kuweka akiba, kuwekeza kwenye biashara tofauti tofauti na kufanya maendeleo tuone kama hautoboi. Tatizo hela zenu badala ya kuziwekeza kwenye biashara tofautitofauti ili zizae zaidi nyie mnaanza na majumba makubwa mnayojenga kwa...
  4. Cobra70

    DOKEZO TAHADHARI: Afisa TRA ahatarisha maisha ya wakazi Mbezi Juu Kwa Sanya kwa kujenga ghorofa 4 bila kibali, kwenye msingi dhaifu wa nyumba ya chini

    Nchi hii ni ya ajabu kweli ukiwa masikini ndio kuwa wewe ni mzalendo au ni ujinga tu! Wabongo tukiacha wivu wa maendeleo tutapiga hatua. Aliyewaloga kuwa matajiri wataishi kama mashetani ameshakufa.
  5. Cobra70

    Tanzania Law School wamefaulu wanafunzi 23 kati ya 821 sawa na 2.8%

    Uwezo mdogo wa vijana waliozoea kufahulu kwa standardization, ma lectures endeleeni kusimamia viapo yaani unawapa wanachostahili (haki) na si kutengeneza mawakili vilaza wanaolipa taifa hasara kwa kusaini mikataba ya ovyo.
  6. Cobra70

    Hivi ukiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo utafanya nini kwa Taifa lako?

    Sehemu kubwa ya ardhi yenye rutuba ambazo hazilimwi natengeneza mfumo inakuwa ni vijiji vya ujamaa vinakuwa chini ya Suma JKT vijana wa mjini mabishoo, wavivu, wapiga debe, wakatisha tiketi na wanaokula kwao wanasubiria ajira za serikali nawapeleka huko wakalime na kusindika mazao nchi ipate hela.
  7. Cobra70

    Update: Miili iliyofukuliwa ya Waumini waliofunga hadi kufa yafikia 83

    Wenda watakuwa wameenda mbinguni mana kwenda hadi ufe sisi hatujafikia hatua ya kupaa mzima mzima kwenda mbinguni.
  8. Cobra70

    Nini kifanyike kuhusu elimu ili iwe bora

    Mtoto afundishwe kusoma na kuandika kiingereza na kiswahili, uzalendo na maadili, stadi za kazi, mazoezi ya viungo, elimu ya afya, elimu ya fedha na fani. Vingine ni kupotezeana muda.
  9. Cobra70

    Serikali: Kila mwanafunzi atatakiwa Kusoma somo la Maadili

    Hapo labda waajiri walimu wa ushauri na nasihi wengi tofauti na hapo ni kupoteza muda. Na pia waweke vipindi vya maadili kwenye vyombo vya habari ili ujumbe ufikie jamii nzima mana kama wazazi wao na jamii inayowazunguka haina maadili ni kupoteza muda.
  10. Cobra70

    Hivi Wasichana wa Arusha wengi hawajitambui au ni ulimbukeni?

    Dah! Halafu wana kiswahili kibovu sana.
  11. Cobra70

    Hivi Wasichana wa Arusha wengi hawajitambui au ni ulimbukeni?

    Ukiwa Arusha kwa moshi wa bange unavyofuka unaweza ukadhani kuna viwanda vya kurutubisha uranium.
  12. Cobra70

    Hivi Wasichana wa Arusha wengi hawajitambui au ni ulimbukeni?

    Kama mji mzima unanuka jani iwe bar, kwenye daladala, sokoni na mitaani unategemea hapo Kuna watu!
  13. Cobra70

    RC Mtaka ataka wanafunzi wanaofanya makosa wafukuzwe shule

    Walimu wa ushauri na nasihi ni muda muafaka kuajiriwa kwa uwingi mashuleni hasa sekondari wenda wakasaidia kuleta ufanisi mzuri katika kubadili tabia mbaya kwa baadhi ya wanafunzi na walimu wao mana kesi za walimu kwa wanafunzi, walimu kwa wanajamii, walimu kwa walimu zinazidi kufukuta kwa kasi.
  14. Cobra70

    RC Mtaka ataka wanafunzi wanaofanya makosa wafukuzwe shule

    Ifikie kipindi serikali iambiwe ukweli kuwa failure kubwa ya wanafunzi inasababishwa na nidhamu mbovu ya wanafunzi na mmomonyoko wa maadili kwa watoto na wazazi wao. Kama tu kupeleka shule watoto hadi watishiwe kukamatwa na mgambo kwa nini wazazi wasiwe maadui wa walimu? Drop out ya wanafunzi ni...
  15. Cobra70

    RC Mtaka ataka wanafunzi wanaofanya makosa wafukuzwe shule

    Upo sahihi kabisa shida ya wazazi wa siku hizi hawajui kulea watoto kwenye maadili mema, wakisaidiwa kulea inakua nongwa.
Back
Top Bottom