Hello wadau, naombeni ushauri, mimi ni kijana wa umri wa miaka 33. Katika harakati za maisha niliotea bonge moja la mchongo wa kazi nzuri kutoka katika big 4 audit firms hapa bongo, kiukweli hii kazi ni nzuri na maslah ni mazuri ila pressure ya kudeliver ni kubwa sana na majukumu ni makubwa...
Hello wadau, poleni sana na majukumu ya kulijenga taifa.
Ipo hivi mimi nina mdogo wangu mwaka jana alipata mchongo kwenye taasisi moja hivi na wanamlipa vizuri sana like 4m kwa mwezi na tena bado ni mdogo sana ni miaka 26 tu.
Juzi kaja home nikawa namuulizia habari za kazi akawa anipa stories...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.