hizo ni sms za kawaida sana andaa akili kuziona sms kali zaidi ya hiyo, with social networks you cant avoid them kikubwa ni maturity ya mpokeaji ujumbe, imani yake na uaminifu wake katika ndoa thats all.
tatizo kubwa lililopo kwenye ndoa zetu ni mawasiliano duni kati ya wenza. nadhani kwanza dumisha mawasiliano kwa kuongea nae kirafiki zaidi ili aweze kufunguka then atakuambia tatizo nini au utagundua tatizo kutokana na mazungumzo yenu. unajua wakati mwingine wanaume tunajidanganya sana kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.