Umefanya Uamuzi wa Busara sana. Anayeshabikia na ukuutetea Mkataba DiPiWedi kuna mawili. Either HANA AKILI au KAHONGWA. Sasa kama Hana AKILI umuoe wa Nini!! Na kama KAHONGWA ndio balaa zaidi.
Habari Wana Yanga Wenzangu, kiufupi na Mimi ni Yanga Die Hard
Sa hivi SAA Mbili Usiku wapo wanapiga Soga na Samia, wakitoka hapo wamechoka, wanaenda kuoga, wanaenda Airport hiyo lazima itakuwa at least SAA Sita usiku. Wanaruka na Ndege. Watafika wamechoka, kesho mechi na Mbeya City, Ijumaa na...
Huyu Mwamba katengeneza $20 fasta. Assune yuko na $100, akamnunua Mbuzi kwa $60, akamwuza kwa $70. Hapo katengeneza $10. So mshiko wake unakuwa $110. Akajizungusha, akatudi tena akamnunua kwa $80, kwenye ile $110 ikabaki $30. Akamwuza kwa $90. $90+$30= $120.
Mwamba ameingiza $20 Chapchap.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.