Recent content by Clueless14

  1. Clueless14

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota Land Cruiser VX V8 ya mwaka 2007 iko sokoni

    Gari ya 2007 mil 85?? Kha! Tz!
  2. Clueless14

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Trump anasema anaweza kuwapoteza wakatoliki na ana mafaili yao

    Wanawake wenyewe akina samia washatukatisha tamaa
  3. Clueless14

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mwigulu Nchemba: Aliyehamasisha vurugu za Oktoba 29 amekiri kuna taifa limemsaidia

    Huyu baba angekaa kimya tu, kilaakifungua mdomo ni utumbo anaongea
  4. Clueless14

    JamiiForums Tanzania Kwanini Diaspora wa USA huwa wengi wao ni kama wana matatizo ya afya ya akili?

    Meanwhile ukiwa na chance ya kwenda huko marekani hutaiachia. . Msongo wa mawazo hata Tz upo..
  5. Clueless14

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini Nahreel na Aika hawapati sapoti ya kutosha Bongo ili hali wako na sound ya tofauti kuzidi wasanii wengi wa kwenye A list

    Atlanta ipi unayoingelea? Ile yenye purukushani 24/7 au
  6. Clueless14

    JamiiForums Tanzania Hatimae ndoa ya Shilole na Rommy3D yavunjika rasmi

    Huyu shilole kesi zote za mahusiano yake ni yeye ana cheat
  7. Clueless14

    JamiiForums Tanzania Nmepata kazi nyingine, mshahara mdogo. Nipeni ushauri jinsi ya kuadjust lifestyle

    Yani kama umeandikiwa uMaskini na akili inakuwa ya kimaskini kutupa! take home 1.3M unauliza uishije??
  8. Clueless14

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume tuwe makini na sehemu tunazotaka kuoa

    Sisi wenyewe tuko makini na sehemu tunazoolewa. Kuna watu ovyo hadi unashangaa wamekujaje duniani!
  9. Clueless14

    JamiiForums Tanzania Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

    Mpiga hela tu huyu hamna uchungaji wala uimbaji wa kumaanisha hapo.
  10. Clueless14

    JamiiForums Tanzania Mimi baba wa watoto watatu ratiba yangu ya asubuhi na jioni

    Asikuzingue huyo, there is nothing wrong kwa wewe kuogesha wanao hata kama kila siku! Achana na hao matasa wa kiume wewe wanao utaona matunda yake uzeeni
  11. Clueless14

    JamiiForums Tanzania Mimi baba wa watoto watatu ratiba yangu ya asubuhi na jioni

    Watoto mzae wawili. Kuhangaika ahangaike mmoja! Kuna tatizo gani ukiogesha mwanao wa kuzaa?? Akili finyu za wanaume wa kiafrica!!!
  12. Clueless14

    JamiiForums Tanzania Naombeni jina la mtoto wa kike

    Janella
  13. Clueless14

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu sild hataki kunipa mpaka nimuoe kwa ndoa!

    Kasheshe ni kwenye imani, mimi kama mimi linapokuja suala la imani nikijuona hapa sibadilishi,(which is siezi kubadili dini) basi kiroho safi nenda salama. Mambo ya kuzaa watoto tuanze kuchanganyikiwa wafate imani gani noooo
  14. Clueless14

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana ukitaka kuoa oa msichana anayeishi nyumbani kwao

    Na wanaopata kazi mikoa mingine inawabidi wahame manyumbani na kuanza maisha huko waendako?
Back
Top Bottom