Recent content by Clueless14

  1. Clueless14

    PostGE2025 Mwigulu Nchemba: Aliyehamasisha vurugu za Oktoba 29 amekiri kuna taifa limemsaidia

    Huyu baba angekaa kimya tu, kilaakifungua mdomo ni utumbo anaongea
  2. Clueless14

    Kwanini Diaspora wa USA huwa wengi wao ni kama wana matatizo ya afya ya akili?

    Meanwhile ukiwa na chance ya kwenda huko marekani hutaiachia. . Msongo wa mawazo hata Tz upo..
  3. Clueless14

    Hatimae ndoa ya Shilole na Rommy3D yavunjika rasmi

    Huyu shilole kesi zote za mahusiano yake ni yeye ana cheat
  4. Clueless14

    Nmepata kazi nyingine, mshahara mdogo. Nipeni ushauri jinsi ya kuadjust lifestyle

    Yani kama umeandikiwa uMaskini na akili inakuwa ya kimaskini kutupa! take home 1.3M unauliza uishije??
  5. Clueless14

    Wanaume tuwe makini na sehemu tunazotaka kuoa

    Sisi wenyewe tuko makini na sehemu tunazoolewa. Kuna watu ovyo hadi unashangaa wamekujaje duniani!
  6. Clueless14

    Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

    Mpiga hela tu huyu hamna uchungaji wala uimbaji wa kumaanisha hapo.
  7. Clueless14

    Mimi baba wa watoto watatu ratiba yangu ya asubuhi na jioni

    Asikuzingue huyo, there is nothing wrong kwa wewe kuogesha wanao hata kama kila siku! Achana na hao matasa wa kiume wewe wanao utaona matunda yake uzeeni
  8. Clueless14

    Mimi baba wa watoto watatu ratiba yangu ya asubuhi na jioni

    Watoto mzae wawili. Kuhangaika ahangaike mmoja! Kuna tatizo gani ukiogesha mwanao wa kuzaa?? Akili finyu za wanaume wa kiafrica!!!
  9. Clueless14

    Mpenzi wangu sild hataki kunipa mpaka nimuoe kwa ndoa!

    Kasheshe ni kwenye imani, mimi kama mimi linapokuja suala la imani nikijuona hapa sibadilishi,(which is siezi kubadili dini) basi kiroho safi nenda salama. Mambo ya kuzaa watoto tuanze kuchanganyikiwa wafate imani gani noooo
  10. Clueless14

    Kijana ukitaka kuoa oa msichana anayeishi nyumbani kwao

    Na wanaopata kazi mikoa mingine inawabidi wahame manyumbani na kuanza maisha huko waendako?
  11. Clueless14

    Yuko wapi V2 aliyeimba Nasonga mbele?

    Yuko Australia
  12. Clueless14

    Yuko wapi V2 aliyeimba Nasonga mbele?

    [emoji3][emoji3] mbona darkness
Back
Top Bottom