"Wizara ya Amani inajishughulisha na vita, Wizara ya Ukweli na uongo, Wizara ya Upendo na mateso, na Wizara ya Utele na njaa. Mikinzano hii si ya bahati mbaya, wala haitokani na unafiki wa kawaida: ni matendo ya makusudi ya fikra maradufu."
George Orwell, Kitabu cha "1984"
Tangu kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29 Oktoba 2025, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeuza jumla ya Dola za Kimarekani milioni 168 kwenye soko la fedha la mabenki – Interbank Foreign Exchange Market (IFEM). Hiki ni kiasi kikubwa na cha mara kwa mara ambacho hakijawahi kuonekana katika...
Wakuu,
Inaonekana platform yetu pendwa bado imezuiliwa ingawa kifungo hicho kiliondolewa rasmi zaidi ya mwezi mmoja sasa. Bila VPN hutoboi...
Tuunganishe nguvu zetu ili kuwafahamisha watu wengi zaidi jinsi ya kuingia JF, kama jinsi akina Erythrocyte walivyopotea mwanzoni, yaani tuhakikishe...
Imepita zaidi ya miezi mitatu tangu aliyekuwa “balozi” wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM atoweke. Tukio hili, kwa wengi, lilikuwa tone la mwisho kukata kabisa imani yoyote kwamba CCM bado ni chama kinachoendeshwa na mijadala ya wanachama wake na think tanks...
Hivi karibuni tu ilitoka moja ya ndege kubwa zaidi ya cargo JNIA (Uwanja wa ndege ya Julius Nyerere, Dar es Salaam).
https://fr24.com/VDA7720/3d20aa2e
Ndege hii ya aina ya Antonov An-124-100 maarufu kama 'Ruslan' ina uwezo wa kubeba mpaka kifaru.
Ndege ilifika Dar saa 6 na nusu leo...
Siku ya uapisho wake Mama alishangaza watu alipotoka na msafara wake wa Range Rover za ‘Santorini Black’ mpya kabisa. Flagship ya msafara wake mpya ni model ya 2025 ya Range Rover SV iliyokuwa customized, kuongezwa armoring na kurefushwa. Base model yake inauzwa kimataifa kwa USD laki 2 yaani...
Nimeizungumzia mwanzoni kwa stori, havipatikani vyanzo ambavyo vinathibitisha Itel East Africa na Transsion Holdings zina uhusiano wa aina yoyote. Kinachoziunganisha kampuni hizi ni bidhaa na jina tu, sema Itel East Africa haiingizi simu za Transsion tu
Kampuni ya Itel East Africa Limited ilijiandikisha rasmi tarehe 15 Februari 2013, ingawa inadai kuwa imekuwa ikifanya kazi tangu mwaka 2010. Kampuni hii, ambayo ofisi zake ziko Dar es Salaam, ofisi namba 27 katika jengo la Uhuru Heights, karibu na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ni kampuni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.