Recent content by Club Mate

  1. Club Mate

    JamiiForums Tanzania Machawa wakusanyika kwenye Comments za Rio Ferdinand

    "Wizara ya Amani inajishughulisha na vita, Wizara ya Ukweli na uongo, Wizara ya Upendo na mateso, na Wizara ya Utele na njaa. Mikinzano hii si ya bahati mbaya, wala haitokani na unafiki wa kawaida: ni matendo ya makusudi ya fikra maradufu." George Orwell, Kitabu cha "1984"
  2. Club Mate

    JamiiForums Tanzania Je, Mfumo wa IDRSA na Website ya TRA havipo hewani?

    ubongokid Umewasha VPN mkuu? Tovuti nyingi za serikali zina VPN blocker. Siku hizi usipozima mara moja page haifunguki. Wanajiona wajanja hao..
  3. Club Mate

    JamiiForums Tanzania BoT yavunja Rekodi Kuuza Akiba ya Dola huku Thamani ya Shilingi Ikizidi Kushuka

    Tangu kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29 Oktoba 2025, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeuza jumla ya Dola za Kimarekani milioni 168 kwenye soko la fedha la mabenki – Interbank Foreign Exchange Market (IFEM). Hiki ni kiasi kikubwa na cha mara kwa mara ambacho hakijawahi kuonekana katika...
  4. Club Mate

    JamiiForums Tanzania Tuisaidie JF yetu, tusambaze elimu ya matumizi ya VPN

    Wakuu, Inaonekana platform yetu pendwa bado imezuiliwa ingawa kifungo hicho kiliondolewa rasmi zaidi ya mwezi mmoja sasa. Bila VPN hutoboi... Tuunganishe nguvu zetu ili kuwafahamisha watu wengi zaidi jinsi ya kuingia JF, kama jinsi akina Erythrocyte walivyopotea mwanzoni, yaani tuhakikishe...
  5. Club Mate

    JamiiForums Tanzania Siku 93 na tutaendelea kuhesabu: Polepole yuko wapi, na wako wapi wale wenye uadilifu kama wake?

    Imepita zaidi ya miezi mitatu tangu aliyekuwa “balozi” wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM atoweke. Tukio hili, kwa wengi, lilikuwa tone la mwisho kukata kabisa imani yoyote kwamba CCM bado ni chama kinachoendeshwa na mijadala ya wanachama wake na think tanks...
  6. Club Mate

    JamiiForums Tanzania Ndege kubwa ya Cargo yatua Dar. Wameingiza nini tena?

    Hivi karibuni tu ilitoka moja ya ndege kubwa zaidi ya cargo JNIA (Uwanja wa ndege ya Julius Nyerere, Dar es Salaam). https://fr24.com/VDA7720/3d20aa2e Ndege hii ya aina ya Antonov An-124-100 maarufu kama 'Ruslan' ina uwezo wa kubeba mpaka kifaru. Ndege ilifika Dar saa 6 na nusu leo...
  7. Club Mate

    JamiiForums Tanzania Msafara wa Samia wa Ma-Range mpya umeng'aa kama ilivyostahili kwa Mafisadi!

    Siku ya uapisho wake Mama alishangaza watu alipotoka na msafara wake wa Range Rover za ‘Santorini Black’ mpya kabisa. Flagship ya msafara wake mpya ni model ya 2025 ya Range Rover SV iliyokuwa customized, kuongezwa armoring na kurefushwa. Base model yake inauzwa kimataifa kwa USD laki 2 yaani...
  8. Club Mate

    JamiiForums Tanzania Ijue kampuni ya “Itel East Africa Limited” inayohusishwa na ufisadi nchini Tanzania

    Nimeizungumzia mwanzoni kwa stori, havipatikani vyanzo ambavyo vinathibitisha Itel East Africa na Transsion Holdings zina uhusiano wa aina yoyote. Kinachoziunganisha kampuni hizi ni bidhaa na jina tu, sema Itel East Africa haiingizi simu za Transsion tu
  9. Club Mate

    JamiiForums Tanzania Ijue kampuni ya “Itel East Africa Limited” inayohusishwa na ufisadi nchini Tanzania

    Kampuni ya Itel East Africa Limited ilijiandikisha rasmi tarehe 15 Februari 2013, ingawa inadai kuwa imekuwa ikifanya kazi tangu mwaka 2010. Kampuni hii, ambayo ofisi zake ziko Dar es Salaam, ofisi namba 27 katika jengo la Uhuru Heights, karibu na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ni kampuni...
  10. Club Mate

    JamiiForums Tanzania Hivi watoto wawili wengine wa Rais Samia ni kina nani na wanafanya shughuli gani? Hawahusiki kwenye mambo haramu?

    Usikute ni mapacha wake Abduli wakatembea nchini wakigawana pasipoti moja
Back
Top Bottom