Recent content by Closed_Mind

  1. Closed_Mind

    Even though , Kenya is a small country , lakin ktk urban roads wametuzidi vibaya

    Uchumi ulioimara ni kigezo kikuu kinachosukuma uwekezaji katika miradi ya miundombinu. Rwanda na Kenya zimeweza kuwekeza katika miundombinu bora si tu kwamba nchi zao ni ndogo, bali wanauchumi ulioimara.. Wakati mwingine idadi ya watu na ukubwa wa nchi huchangia maendeleo hapa namaanisha average...
  2. Closed_Mind

    Car4Sale Nauza haya magari bila udalali

    Mkuu nichekie Volkswagen Touareg 2004...below 2500cc
  3. Closed_Mind

    Car4Sale Tunauza magari ya kila aina

    Volkswagen Touareg 2004/2008 , CC chini ya 2500 ni bei gani?
  4. Closed_Mind

    Ninatafuta power generator (3 phase) lenye uwezo wa kuzalisha 10kva.

    Haina usiri wowote weka details wazi tu
  5. Closed_Mind

    Ninatafuta power generator (3 phase) lenye uwezo wa kuzalisha 10kva.

    Natumai mnaendelea vyema na majukumu ya kila siku ni kama kichwa cha habari kinavyojieleza, ninahitaji kufahamu bei na upatikanaji wa generator tajwa hapo juu likiwa ni la three phase na uwezo wa kuzalisha 10kva pia ni vizuri nikifahamu kitumizi chake cha mafuta linaweza kutumia petrol ama...
  6. Closed_Mind

    Nahitaji vifungashio vya mikate na keki

    Pamoja mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Closed_Mind

    Nahitaji vifungashio vya mikate na keki

    Mkuu hii unaweza kutengenezewa...hawa jamaa wanajihusisha na kuprint mifuko karibia ya aina zote mchele, chumvi, mikate na mifuko ya kuwekea nguo za dukani...nafikiri pia hata hiyo mifuko itakuwa inatengenezwa...Hawa ni ADVENT COMMODITIES wapo Chang'ombe eneo la viwanda..pia wapo JAMANA printers...
  8. Closed_Mind

    Nahitaji vifungashio vya mikate na keki

    Yap, nilifanikiwa mkuu. Bahati mbaya mrejesho sikurudisha...kama unauhitaji na hivyo vitu nitajie aina tu mkuu nakuelekeza vinakopatikana. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Closed_Mind

    Ni umbali gani unatakiwa kuacha kama hifadhi zinapopita nguzo za umeme mkondo mkubwa!?

    Uko sahihi mkuu, hizo ni standards za mipango miji sifaham kama Tanesco wana standards za kwao. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Closed_Mind

    Ni umbali gani unatakiwa kuacha kama hifadhi zinapopita nguzo za umeme mkondo mkubwa!?

    Mkuu umbali unaotakiwa kuacha kama hifadhi ya njia/ nguzo za umeme (RIGHT OF WAY) hutofautiana kutokana na ukubwa wa umeme unaopita sehemu husika: Fuatilia maelezo mafupi yafuatayo; 1: 11KV ..........5Metres ROW 2: 33KV...........10Metres ROW 3: 66KV...........20Metres ROW 4...
  11. Closed_Mind

    Tanzia: Johanes Kanani apata ajali na kufariki

    R I P Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Closed_Mind

    Nahitaji vifungashio vya mikate na keki

    Shukran wakuu #Mkwaruu#nsereko m#perfectz# kwa kuguswa na hili..nimepata kitu na pakuanzia pia...ngoja nifuatilie kwa kina maeneo ambayo mmenitajia..nitakuja na mrejesho hapa Inshaallah.
  13. Closed_Mind

    Nahitaji vifungashio vya mikate na keki

    Fanya hivyo mdau nitashukuru sana
Back
Top Bottom