Recent content by Clinton Apolo

  1. C

    CCM yatamba kuendelea kubaki madarakani 2015

    Wapo sahihi kwa kauli hyo, lakn wakumbuke umma(watanzania) hawapo tayari.
  2. C

    Dr. Slaa: Siwezi kujibishana na Shibuda

    Mimi najua CHADEMA ni chama makin sana kinachojua nini kinafanya ukilinganisha na vyama vingine tanzania, hivyo bas kunahaja ya kuangalia namna ya kuweza kuwapata wanachama wema na wenye mapenzime na chama kuliko inavyotokea kwa shibuda. Nimalizie kwa kusema hivi "success requires no explanation"
  3. C

    Rose Migiro Kafunikwa na Halima Mdee

    Kimsingi tangu dr migiro amepata ukubwa huo ktk ngaz ya kimataifa ni msadagan ambao amewasaidia waafrika ma tanzania! Wa2 wa jimbon kwa mdee wamefufaika ktk mambo mbalimbali ambayo mh mdee ameyapigia kelele bungen, migiro hamna ki2 kabisa.
  4. C

    Hali ya barabara Kibondo - Kasulu

    Nashindwa kuelewa kwann 2nasahaulika kias hicho, lakn serikali iliyopo madarakan wajue hiyo ni indictor, wasifikir wa2 wa kibondo-kasulu-kigoma hawaelewe kinacho endelea, dawa yao ipo jikon.
  5. C

    Hali ya barabara Kibondo - Kasulu

    Nashindwa kuelewa kwann 2nasahaulika kias hicho, lakn serikali iliyopo madarakan wajue hiyo ni indictor, wasifikir wa2 wa kibondo-kasulu-kigoma hawaelewe kinacho endelea, dawa yao ipo jikon.
  6. C

    Elimu juu ya rushwa

    Mpango wa kitaifa dhidi rushwa na mpango wa utekelezaji (NASAPII) ni kwa kiwango gan umewafikia watanzania? Naomba mada hii wahusike watu wanaofatilia mambo na kuyaelewa. Thenks in advance
  7. C

    Polisi waendeleza mauaji holela - Kasulu

    Tatizo sahiz ktk jesh la polisi uzalendo umetoweka ndo maana askar kufanya ki2 kama hicho haoni tatizo.
  8. C

    Elimu juu ya rushwa

    Mpango dhidi ya mpambano juu ya rushwa ni kwa kiwango kipi umeweza kuwafikia watanzania
  9. C

    Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

    Zitto yupo kutaka kuwagawanya wanachama 2 na asifikir anaweza kufanikiwa kuwa rais ktk nchi hi
  10. C

    Lema: Sikuogopa nilipoona mwanajeshi anapiga picha na mimi

    Helo, huu ni ujasiri kwa huyu kijana kionesha hisia zake hazarani wapo wenye kadi za chama tawala lkn hawafatiliwi hebu wamwache huyu kijana aseme nn kilimsukuma kufanya hivyo
Back
Top Bottom