Meli hii ya MV Julius hufanya safari zake kati ya Mwanza na Kisiwa cha Goziba kilichopo wilaya ya Muleba mkoani Kagera.
Meli hiyo siku ya jana mchana hadi jioni imepakia mzigo wa magunia ya dagaa kwakuwa kwa sasa dagaa ni wengi kisiwani Goziba. Kwa kifupi ni kwamba walii-over load magunia ya...
Mkuu,
The good investment ever is to invest in yourself.
Anza na hilo kwanza ili uondoe huo uoga ulionao, ili baadaye uwe MJASIRIAMALI. Mjasiriamali hana uoga kama huo ulonao, vinginevyo utaajiriwa milele.
NOTE: Yeyote ambaye hakuwahi kuanguka maana yake hakuna siku aliyojaribu kusimama ili...
Mkuu,
Kiwango chochote cha fedha unachokuwa nacho na unataka kufanya biashara fulani kinatosha kuwa mtaji, kinachotakiwa ni strategy tu.
Swali lako lina majibu mengi.
Mkuu,
Kabla sijatoa ushauri wangu kwako kwanza nianze kwa kukupongeza kwa WAZO ulilolipata.
Lakini pia kwa maswali ulioainisha hapo juu, kwa mtu aliyemakini tayari una majibu kwa maswali yote maana umesema tayari una jamaa zako wa karibu wanaofanya biashara hiyo na tayari wameonyesha nia ya...
Ni mpango mzuri mkuu ila juzi Bunge limepitusha sheria ya kuzuia kabisa uingizaji ama uzalishaji wa plastic products kama mifuko sasa sijajua itakuwaje kwa wenye viwanda hivi ambavyo tayari ni operational.
Wabongo waliowengi ni wavivu mkuu, wanapenda vya mteremko so inapotokea issue yoyote yenye kuonyesha kuleta hela kirahisi Mbongo anakurupuka tu bila hata kutafakari vema. Yawezekana watu wamekurupukia hizo bond wakidhani ni 13% per month, subiria watakapoanza kushangaa.
Unawezaje kuwekeza 10mil...
Mkuu, Wabongo huwa tunakurupuka bila detailed research na mwishowe tunaangukia puwa.
Sasa huyu jamaa anakomaa hapa na anamuaminisha mleta mada eti amekuwa akifanya na anapiga hela kiulaini tu.
Miye kani-bore zaidi pale alipotoa comment ya kupuuza wenye miradi ya Kuku. Lakini mleta mada atakuwa...
Mkuu, kwa style hii tutatoka kweli!!?
Ili tutoke lazima kwanza tuondokane na hizi fikra. Hivi unapomshauri mtu kununua hizo bond ambazo unakuja kupata gawiwo after six months hata kama ni accumulative, hiyo miezi sita unapokuwa unasubiria gawiwo unakuwa unafanya nini?
Haya ulotoa ni mawazo ya...
Jackline unatuchanganya sasa, mwanzoni umesema Wazungu hawatumii hiyo kitu na ukadai hata Azam na kutoka South Africa wanapeleka kwa kiwango kidogo sana, sasa hivi unasema Sembe imejaa supermarkets, so which is which maana kama Sembe ni nyingi kwenye hizo supermarkets unazosema maana yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.