Jamani naomba kupata uelewa zaidi kuhusu na biashara ya kuagiza bidhaa kutoka nje ya nchi kuanzia utaratibu mzima,na hatua zote hadi kuupata mzigo ambao pengine natarajia kuufanyia biashara, Zaidi kutoka nchi kama China na nchi zengine za Asia
Upande wangu naona pengine watanzania wengi wamekwisha lizika na kuishi katika mazoea na chama tawala kwa muda mrefu kiasi kwamba wanafikiri ni salama zaidi chini ya uongozi huo wa chama tawala na hilo linapelekea kukosa kwa utayari katika kuruhusu mabadiliko zaidi
Maendeleo ya sayansi na teknolojia kwa sasa yamekua yakiongezeka kwa kasi siku baada ya siku. Ikiwa yote hayo yanahitaji mazingira pamoja na rasilimali zilizopo katika mazingira husika, uhusiano mkubwa uliopo baina ya maendeleo kwa ujumla na mazingira ni mkubwa sana kiasi kwamba ni lazima tuweze...
Tofauti ya umbali kati ya jua na dunia ,pia umbo la mduara la dunia lakini sababu zote mbili zinakua na maana kutokana na mzunguko wa dunia kulizunguka jua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.