sass wee unaelekezwa afu unaleta vipingamizi ndo nini sasa
sasa wewe upo kijijini Sana jamiiforum unaingiaje sasa?
Wewe hutaki msaada unasumbua watu Tu.:smokin:
Naomba kuuliza hii course ipo VP kwa upande WA ajira zake hasa zinakua wapi namaanisha application yake baada ya kuimaliza na ajira zake kwa ujumla nawasilisha mwenye uelewa na hii anisaidie
Haina ajira
mama utaweza kujiajiri kwa kujenga maabara kubwa za kiutafiti kama nchi za wenzetu nenda kaisome so maamuz yapo kwako
angalau ungesima biotechnology ya udsm angalau Kwan yenyew imebez Sana kwa plants akat ya udsm ipo pote pote kwa kilimo na binadam asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.