Aliyeandika haya bila shaka ni akina No reform no election ila niwakumbushe jambo moja tu hakuna Rais aliyewahi kutukanwa na kikundi kile kama mh kikwete wakati akiwa madarakani,magufuli alipokataa uhuni wao walimwiita kikwete Baba yetu Kikwete.na kumuomba awaombee mazingira ya ahuweni kwa jiwe.
Ndugu mtoa post kauli kama hizi uwe makini nazo unaingia kwenye kamera za watu siku ukiingia kwenye mfumo wa wasiojulikana uwe na kumbukumbu Mimi ni mzee wa makamo ila naogopa kauli mfano wa hizi pia pengine utakuwa kundi la wakukodi. Oct tuna✓
Ccm ikitema uchafu ndugu zangu wanaokota. polepole aliongoza mbinu chafu ya kufunga mikutano ya vyama vya siasa kwa miaka 6 leo hii Chadema wanamuona Polepole wa maana kwao.
Gwajima alishindwa kiuongozi kwa kila namna akiwa mbunge wa kawe leo hii Gwajima ameonekan wa maana Kwa chadema.huu ni...
Leo tarehe 16 Aug 2025 bado siku 73 ufanyike uchaguzi na ukweli mchungu Ccm itashinda na huo ndyo mwisho wa No reform no election Lisu atakuja na misamiati yake ya hatutambui serikali na pia yaweza kuwa mwisho wa Chadema kwenye ulingo wa siasa za Tz.
Chadema hasa wafuasi wako hawapendi kuambiwa ukweli ila miaka mitano mbele chadema itakuwa sehemu ya story tu kwamba iliwahii iliwahi hivyo yaani hata Cuf ilikuwepo Kwa mfano huo huo leo hii ndyo ile
Leo chama kinatapata wawakirishi wa ubunge na udiwani siku zinakwenda mbele huku nyuma polepole anapiga kelele tu Urais ni mfumo huwezi kuhuchumu mfumo wa Rais unataja jina linalowakirisha mfumo wakati huo hilo jina linalindwa na huo mfumo kama ni Urais tuongelee 2030 siyo 2025. Kwa 2025 nafasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.