Recent content by cleopatraj

  1. cleopatraj

    JamiiForums Tanzania Prof. Mruma na wenzake wameua sekta ya nishati na madini Tanzania

    mapovu mengi but pontless hivi manabenefit nini mkiwa mnatamkia hii nchi vibaya kisa tuu uchama...yaani kwasabu wee chama cha upinzani basi kila kitu unapinga...mkuu umepotea.
  2. cleopatraj

    JamiiForums Tanzania Neno kwa Waoga: Uwezekano wa Barrick Kusema "Hatudaiwi" ni SIFURI!

    true speaking...wajinga tuu watakupinga
  3. cleopatraj

    JamiiForums Tanzania Mameya wa CHADEMA wataka kumuona Rais Magufuli

    sii walisema hawamtambui au?
  4. cleopatraj

    JamiiForums Tanzania Swali kwa Lissu: Mkataba wa MIGA unasemaje kama kampuni inafanya kazi bila kusajiliwa?

    mwanasheria njaa huyu....ANATAFUTA KIKI TUU KAMA WASANII
  5. cleopatraj

    JamiiForums Tanzania Ubungo na Jiji la Dar es Salaam inavyoathiriwa na hujuma ya ukwamishwaji miradi

    kwani yeye alikuwepo kwenye uzinduzi wa flyover ubungo?...pili chama chake hakimtambui rais magufuli kama rais wanamtambua kama dictator ..tatu msemaji mkuu wa chama amesema wahisani waache kuisaidia tanzania ...huyoo ndio anayekwamisha maandeleo....kwa hiyoo aanze kwanza kuongea vizuri na chama...
  6. cleopatraj

    JamiiForums Tanzania Kwanini wajumbe wa majadiliano na Barrick kutoka Tanzania imekuwa siri nzito?

    wee hawa wajumbe wengine unawataka wa nini??
  7. cleopatraj

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu angeweza kuisaidia sana serikali katika suala la makinikia ya Acacia

    mwanasheria aliyebobea anajificha mahakamani??....anaogopa kushitakiwa?? hawezi mziki wa magufuli... amebobea huko uchochoroni.
  8. cleopatraj

    JamiiForums Tanzania Lengo la upinzani ni amani kuvurugika ili washike madaraka.

    true speaking na wamenunuliwa na mabepari bila ya wao kujua
  9. cleopatraj

    JamiiForums Tanzania Rufiji: Watuhumiwa wawili wa mauaji ya Pwani Wauawa

    good job
  10. cleopatraj

    JamiiForums Tanzania Mliompigia debe Magufuli nawauliza swali...

    hivi waliompigia kura lowasa....walikuwa wanataka nini? maana tangu aingie chadema sijaona jipya
  11. cleopatraj

    JamiiForums Tanzania Acheni siasa, Shule hizi si utamaduni wetu!

    whatever its wapeleke private schools na padri wa katoliki wa songea naye kakataa
  12. cleopatraj

    JamiiForums Tanzania Wakili Fatma Karume kuhusu kilichojiri polisi dhidi ya Lissu

    upuuzi mtupu tundu hanaga kazi ya kufanya uraiani zaidi ya kutumia lugha mbaya kukosea serikali alijua alichokuwa anakitafuta...mwacheni apumzike sero...bunge lilikuwa lefu kweli.
  13. cleopatraj

    JamiiForums Tanzania Uko wapi uzalendo wa Tundu Lissu kwa Nchi yake?

    nyani haoni kundule
  14. cleopatraj

    JamiiForums Tanzania Mamlaka ya juu itazuia tena Leo Dr Mashinji asipewe dhamana????

    huo ni uchonganishi mtupu mwenye mammlaka zaidi ya jaji ni nani? tutasikia mengi mwaka huu.
  15. cleopatraj

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe aitafsiri kauli ya Lissu kama uhayawani

    amezungumza point maana hizo pesa za wahisani ndio zinazowalipa wabunge
Back
Top Bottom