wanafanya repair kwanini hatuoni daraja lingine likijengwa kwa faida ya hii draja kuna lile daraja la kuunganisha tanga na bagamoyo mpaka leo tupo kwenye upembuzi yakinifu
Watu wote wanapigwa PhD za stem science ni scientist ila bongo hamna lab za maana wala sio serikali au makampuni yanainvest kwenye research. Yani Sisi Ni Kudra za mwenyezi mungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.