Recent content by cleaner wrasse

  1. cleaner wrasse

    JamiiForums Tanzania Je kitaalamu na kisayansi MOYO hauna hata chembe za fahamu na hisia?

    All internal organs don't have pain receptors . The nerves are at the membrane
  2. cleaner wrasse

    JamiiForums Tanzania John Heche: Nchi hii wananachi wanachukuliwa kama watumwa na watawala kama watwana au wamiliki wa watumwa

    acha kujaza server kwenye utawala wa sheria si ndio maana kuna mahakama polisi sio kazi yake kutafsiri sheria na kujichukulia sheria mkononi.
  3. cleaner wrasse

    JamiiForums Tanzania HOJA Deni la Daraja la Kigamboni (Mwalimu Nyerere) litaisha lini?

    wanafanya repair kwanini hatuoni daraja lingine likijengwa kwa faida ya hii draja kuna lile daraja la kuunganisha tanga na bagamoyo mpaka leo tupo kwenye upembuzi yakinifu
  4. cleaner wrasse

    JamiiForums Tanzania Naomba kumfahamu mwanasayansi yeyote aliyetokea chuo kikuu cha UDSM

    Watu wote wanapigwa PhD za stem science ni scientist ila bongo hamna lab za maana wala sio serikali au makampuni yanainvest kwenye research. Yani Sisi Ni Kudra za mwenyezi mungu
  5. cleaner wrasse

    JamiiForums Tanzania Fungu lako la Kumi unapeleka wapi?

    Fungu lote langu
  6. cleaner wrasse

    JamiiForums Tanzania Wenye akili nyingi huwa wanaishi nje ya mji

    Ukiumwa unajifia
  7. cleaner wrasse

    JamiiForums Tanzania Utafiti na Uandishi wa Kitabu Cha Abdulwahid Sykes 1985 - 1998

    Hapo ilala waislamu wanagombania msikiti unaamini gani kuhusu hili ikiwa wewe Ni mwanahistoria ya uislamu hapa Tanzania
  8. cleaner wrasse

    JamiiForums Tanzania Mambo matatu yanawezekana kuhusu Nchimbi na kauli zake.

    Jambo ni moja CCM ni wauaji na nchimbi ameingia hapo Kwa mauaji. Hivyo vingine Ni tetesi
  9. cleaner wrasse

    JamiiForums Tanzania Mwendesha Mashtaka Mkuu wa ICC aondolewa madarakani kwa kashfa ya Ngono

    Huyo mzee zamwamwa ... Tanzania tumeuwawa amezubaa tuu hapa
  10. cleaner wrasse

    JamiiForums Tanzania Wazee wa Ilala wamuomba raisi Samia kusaidia mgogoro wa Masjid Al Rishaad

    Kwani mzee Said anasemaje maana yeye Si ndio mtaalamu wa historia ya uislamu Tanzania
Back
Top Bottom