Recent content by Claudian_

  1. Claudian_

    JamiiForums Tanzania Kwa hali ilivyo ndani ya CHADEMA, huenda John Heche akajiuzulu kabla ya kubanduliwa madarakani na mkutano wa baraza kuu la chadema taifa mwezi ujao..

    Sijasoma kitu baada ya kuona umeandika wewe ila itoshe kusema utakuwa umeandika ungese
  2. Claudian_

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Katambi: Oktoba 29 yaliyotokea kwao ilikuwa sherehe wakahamasisha watu wakawavutisha bangi na kuwapa viroba wakaingia barabarani

    Ufaulu wake na kutetea maslahi ya wananchi vinaingilianaje?? Unaijua elimu ya namba moja au ndo tukiuliza tunaonekana wahaini?? Jibu hoja kwa hoja. Huyo namba moja mwenyewe anakiri alikuwa mjinga na ndo kiongozi wako mkuu. Kibibi kijinga
  3. Claudian_

    JamiiForums Tanzania Haka kamchezo ka leo kamenichekesha sana!

    Kubishana na huyo jamaa ni kupoteza muda ndio wale wanajumuia walioenda ubalozini kwa papa Kwenye hao watanzania Mimi nitoe
  4. Claudian_

    JamiiForums Tanzania Haka kamchezo ka leo kamenichekesha sana!

    Kubishana na huyo jamaa ni kupoteza muda ndio wale wanajumuia walioenda ubalozini kwa papa
  5. Claudian_

    JamiiForums Tanzania Haka kamchezo ka leo kamenichekesha sana!

    Anahisi Hawa ni walala hoi Kama mwaipopo na kombo
  6. Claudian_

    JamiiForums Tanzania Haka kamchezo ka leo kamenichekesha sana!

    We ni mgeni wa TEC subiri uone Kama Kuna uovu utatendeka halafu kitima asiongee hiyo ni never. Kanisa linaendeshwa na michango ya waumini sio vijipesa vidogo vya serikali and infact kanisa lina pesa ya kutosha na haliyumbi kivyovyote
Back
Top Bottom