Ufaulu wake na kutetea maslahi ya wananchi vinaingilianaje?? Unaijua elimu ya namba moja au ndo tukiuliza tunaonekana wahaini?? Jibu hoja kwa hoja. Huyo namba moja mwenyewe anakiri alikuwa mjinga na ndo kiongozi wako mkuu. Kibibi kijinga
We ni mgeni wa TEC subiri uone Kama Kuna uovu utatendeka halafu kitima asiongee hiyo ni never. Kanisa linaendeshwa na michango ya waumini sio vijipesa vidogo vya serikali and infact kanisa lina pesa ya kutosha na haliyumbi kivyovyote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.