Huyu ni mwanafunzi wa mtwango secondary alimaliza mwaka 1997 na baadae songea boys 1998 - 2000,
Baada ya hapo alikuwa mtangazaji wa redio Tanzania kituo cha songea after form six kabla hajaenda Tsj.
Ni chawa promax wa mama na ccm.
Bora wa msamala mwenzangu umemjibu vizuri. Mwambie sisi tumishi huko lakini bado tunaamini kuishi msamala na kufurahia maisha kunyumba tunaona bora zaidi kuliko hekaheka hizo za Dar.
Kwa ruhusa yako darling mwambie atutembelee nyumbani ajioneee
I second you 🙏
Mimi sipo tayari kuendeshwa na hawa viumbe! Hataki kusimama upande wangu kama ninavyohitaji basi atembeee
Sina muda wa kubembeleza hawa viumbe aiseee
It is better to live alone kuliko kuwa mtumwa kwa kiumbe mwanamke kisa tu ni mzuri, au ana kazi nzuri na elimu nzuri au...
Mimi nitafutie binti mzuri mwenye muonekano mzuri na mwenye elimu bora awe employee wa government.
Umri wake uwe kati ya miaka 25 hadi 33 lakini asiwe na mtoto, sitaki shida za singo maza mimi maana naujua moyo wangu, sitoweza kulea mtoto wa mwanaume mwenzangu na kisha mimegewe kisela.
Nipo...
Sasa tuambie kwanini unadhani watoto wengine wanakuwa wazito kuelewa na wengine wepesi kuelewa?
Tuanzie hapo na ukijibu hilo swali vizuri ndio nitajua kiwango cha uelewa wako kuwa ni wale wenye elimu ya tia maji tia maji / elimu ya hapa na pale au upo smart vertically
Kinachofanya mtoto awe na uwezo mzuri darasani ni two factors:
1. Hereditary factor - biological factor
Kwenye hiyo factor baba ukiwa na elimu ya kuunga unga na mam elimu ya kuokoteza okoteza basi hata ikitokea baba ukabahatisha kupata fedha za kutosha na uwezo mkubwa wa kiuchumi usije tegemea...
Usiwadanganye watu bana kwa kujifanya Daktari analipwa fedha nyingi, HUO NI UWONGO ULIOTUKUKA.
1. Mwaka jana kabla mishahara haijaongezwa kiduchu Dr. Wa binadamu ambaye ni MD alikuwa analipwa basic salary ya Tsh. 1,480,000/= hapo bado hajakatwa bima, income tax, Psssf, n.k
2. Ukizungumzia hao...
Na wewe ni mmoja wa wasiojielewa nchi hii. Nchi hii ili iweze kusonga mbele inahitaji kufurusha mafisadi wote na kuondoa viongozi wala rushwa na wanaojilimbikizia mali.
The best way to do ni kama vile wakenya wamefanya na sio kuwa na spirit ya uoga kama wewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.