Recent content by Clark cian

  1. Clark cian

    DOKEZO Wenye Hospitali binafsi wakataa kuwahudumia wateja wa NHIF kutokana na vifurushi vipya

    hata hivyo bado hospital za private nyingi nu matapeli tuuh....... haiwezekani tunaenda dirisha la dawa unaambiwa usaini lakini dawa anakuambia hamna kanunue hii ni haki kweli ?
  2. Clark cian

    Tanzania na magrill milangoni na madirishani

    Tafuta hela mzee hamna kitu Cha kijinga hujasema security ways , Afu pita popote Ambapo hamna fence uone kama taa zao hazijalindwa na chuma πŸ˜…
  3. Clark cian

    Wakatoliki waanza kuona aibu na fedheha, Papa na Vatican wameharibu sana taswira ya ukatoliki

    When you take a retouching smear of your brain will display loss of granular cell and molecular cell
  4. Clark cian

    Wakatoliki waanza kuona aibu na fedheha, Papa na Vatican wameharibu sana taswira ya ukatoliki

    We na wewe huna point unajua kuandika vitu ambavyo havina mantiki ,ukiyaangalia maswali ambayo umeyaambatanisha kwenye thread Yako ni vitu ambavyo vinapingana So Kwahiyo unaona sawa kubariki Mali za mashoga ni? Kwenye vitabu vyako ni wapi umeona kumeandikwa na (tukabariki vitu vyao ? Acha...
  5. Clark cian

    Brighton & Hove Albion F.C. (The Seagulls) | Special Thread

    Huyu manyumbu lialia πŸ˜…πŸ˜…
  6. Clark cian

    Brighton & Hove Albion F.C. (The Seagulls) | Special Thread

    πŸ˜…πŸ˜… nichekege tuuh ila hapa mzee umeyumba kufungwa mara moja tuuh ,ushabadiki na timu
  7. Clark cian

    Baba yangu mzazi amepangisha chumba changu

    Hamna kijana wa miak 48 wewe kunguni πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Asa mpaka sasa hivi unakaa nlikuwa baba Yako πŸ˜…πŸ˜… Anyway jipe moyo utayashinda πŸ˜…πŸ˜…,afu nyie ndo wazazi wetu kabisa em tufundisheni kulambana bana acheni zenu Ila hii story ni scripted unatuongopea πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
  8. Clark cian

    Wenye akili sana maisha huishia njiani

    πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
  9. Clark cian

    Nimempa talaka mke wangu kisa kushabikia simba

    Daaah.....πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
  10. Clark cian

    Naomba ushauri nimepoteza uwezo wa kujiamini

    Hahah....mbona mmeenda kwenye mapenzi moja Kwa moja πŸ˜…πŸ˜… Unajua hata tatizo la kiafya linaweza kuwa sababu hivyo basi tusisite kumwambia hii collective name (wanaume hatukati tamaa,mwanaume ndiye mwenye uwezo wa kupainua palipo lala,mwanaume ndiyo anaweza tenda paliposhindikana.Amen na mungu...
  11. Clark cian

    Ni kweli Tanzania hatuendelei kwenye elimu?

    Ni matumaini yangu hamjambo ,mu wazima wa afya kabisa wakuu. Poleni na majukumu ila Mimi Kuna kitu kinazidi kunimaliza siku Baada ya siku na hicho kitu siendi mbali ila nipo kwenye suala.la mfumo wa elimu nchini. Mimi Tangu nimalize darasa la sana mwaka 2014 mpaka sasa sijaona mabadiliko...
  12. Clark cian

    Umepiga β€˜Kenchi’ kweli, au Umepigwa? Hivi ndivyo Wateja wa Mbao wanavyotapeliwa Mitaani

    Wazee nimerudi kwenye hii mada Utajuaje kuwa mbao ulizonunua zimepakwa rangi ya ukindu na Wala sio tanalith C
  13. Clark cian

    Be that top 1% -majitu yenye akili na nguvu

    Nimefanikiwa kusoma mwanzo Hadi mwisho.......asee kitabu kitakuwa Bomba
  14. Clark cian

    Mwana Mbea una deal nae vipi?

    Dah.....Wana kama hao wanazinguaga kinoma sema achana nao
Back
Top Bottom