hata hivyo bado hospital za private nyingi nu matapeli tuuh....... haiwezekani tunaenda dirisha la dawa unaambiwa usaini lakini dawa anakuambia hamna kanunue hii ni haki kweli ?
We na wewe huna point unajua kuandika vitu ambavyo havina mantiki ,ukiyaangalia maswali ambayo umeyaambatanisha kwenye thread Yako ni vitu ambavyo vinapingana
So Kwahiyo unaona sawa kubariki Mali za mashoga ni? Kwenye vitabu vyako ni wapi umeona kumeandikwa na (tukabariki vitu vyao ? Acha...
Hamna kijana wa miak 48 wewe kunguni π π π π
Asa mpaka sasa hivi unakaa nlikuwa baba Yako π π
Anyway jipe moyo utayashinda π π ,afu nyie ndo wazazi wetu kabisa em tufundisheni kulambana bana acheni zenu
Ila hii story ni scripted unatuongopea π π π
Hahah....mbona mmeenda kwenye mapenzi moja Kwa moja π π
Unajua hata tatizo la kiafya linaweza kuwa sababu hivyo basi tusisite kumwambia hii collective name (wanaume hatukati tamaa,mwanaume ndiye mwenye uwezo wa kupainua palipo lala,mwanaume ndiyo anaweza tenda paliposhindikana.Amen na mungu...
Ni matumaini yangu hamjambo ,mu wazima wa afya kabisa wakuu.
Poleni na majukumu ila Mimi Kuna kitu kinazidi kunimaliza siku Baada ya siku na hicho kitu siendi mbali ila nipo kwenye suala.la mfumo wa elimu nchini.
Mimi Tangu nimalize darasa la sana mwaka 2014 mpaka sasa sijaona mabadiliko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.