There are times they take higher risks! It is the art of making deals. You should be able to say 'hey, you know what: i got lot customers who can handle it with good deal, so you can get the hell out of here'
Well, interesting questions! Nionavyo ni kwamba, masuala ya imani yanaeleweka vizuuri sana yakielezwa kiiman. Kwanza kabisa mimi ni Christian, so majibu yanaweza kuwa na muelekeo huo ila natumaini tutaelewana.
Katika imani na maandiko matakatifu pia kuna "colorful poetic theological talk"...
Okay B. Nini mtazamo wako kuhusu siasa za Tanzani ambapo vyama mbadala havioni lolote linalofanywa na serikali iliyopo madarakani? Pia wewe unaona ni sahihi kuzipa majina serikali kwa majina ya marais walioko madarakani? Mfano serikali ya JP, Serikali ya JK, serikali ya ...!!! Any of your...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.