jamani naombeni msaada kwa wanao jua. Hv kuna baadhi ya dawa za makaria zaweza sabaisha miscariage, na kama zipo naomba mniweke wazi, alafu naomba suggestation ya dawa zinazofaa.
pole sana kaka yangu,
Akiwa kwenye care nzuri ya daktari kama wengine wanavyo shauri sio tatizo kubwa, hata dada yangu kajifungua mapema mtoto wa kwanza kwa operation, iliyofuata kajifungua pasipo operation, labda kama atakuwa na matatizo mengineyo. Mungu yupo na atawasaidia.
me niameanza kutumia, kama j5 hv, line yangu in shilingi 4, ila nadownload video kwenye youtube fresh kama mbili au tatu kwa siku, ila inanza saa 5 usiku, proved.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.