Watu bhana,ndege si ya masafa marefu kwa hiyo lazima kila baada ya umbali flani na kifanyiwa inspections husika. Muwe mnauliza kabla ya kuandika ujinga wenu
Wanajamvi nipo hapa Korogwe kwa zaidi ya nusu saa hakuna gari inayoenda wala kutoka Kimara, watu ni wengi kiasi hata kusogeza mguu huwezi.
------Updates-----
tramadol said,
Kuna ajali mbaya ya mabasi ya mwendo kasi maeneo ya Shekilango baada ya basi moja kuligonga basi lingine kwa nyuma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.