Tanzania viongozi wengi wapo kwa maslahi binafsi yan hii nchi watu walio juu kiuchumi huwa wanafurah sana kuona kuna wengine wanahangaika mitaani. na hata waliofanikiwa wakikuona ww ambaye bado huna kitu wanakuwa na dharau sana na furaha kubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.