Ni huduma kubadili decoder iwe kwa matumizi ya bar au pub kuonesha mpira tu na channels nyingine chache lkn ina gharama kubwa sn kuanzia TSH 80,000 huko
Wadau hivi hawa DSTV wana watu wabunifu na competent kwenye biashara ya visimbuzi kweli?
Yaani kwanini uweze kujiunga na huduma ya DSTV BUSINESS halafu ukitaka kujitoa ishindikane yani kwamba ni lazima uendelee na hiyo huduma mpaka ukamilifu wa dahari.
Aisee it's a very weak gap kibiashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.