Recent content by Civilian One

  1. Civilian One

    Tuwe wakweli Nillan anafanana na Ivan sio Diamond

    Chuchu saa ngapi😺
  2. Civilian One

    Kwanini NASA hawakurudi tena mwezini?

    Kwasababu haiwezekani ,labda kwa wanawake tu!
  3. Civilian One

    Kwa mujibu ya Warusi hawa ndio Waisraeli halisi

    Alafu Muizraeli ndio Muafrika halisi🤔🤔 alaaa kumbee
  4. Civilian One

    UZI MAALUM WA PICHA ZA WATU WENYE SURA NGUMU.

    Stoneface aka gari la polisi, watu wakiliona nduki
  5. Civilian One

    UZI MAALUM WA PICHA ZA WATU WENYE SURA NGUMU.

    Huyu ukikutana nae chochoroni mwili mzima una vibrate unaishiwa nguvu hata ya kukimbia, anachukua chake bila mvutano maana sura yenyewe murder 😄
  6. Civilian One

    UZI MAALUM WA PICHA ZA WATU WENYE SURA NGUMU.

    Hii sura kizibiti tosha hata jaji hana haja ya kuuliza ishahidi.
  7. Civilian One

    Climate Change is Real?

    Kilicho na mwanzo hakikosi mwisho let nature take it's cause,the world is already fucked n there's nothing we can do
  8. Civilian One

    Corona: Tanzania kuzuia chakula na bidhaa zingine kupelekwa Kenya

    Naona wataka kuanzisha ligi, tuyafanye mafupi umeshinda bukta ni yako. Mwanaume hashindani na sidiria😄
  9. Civilian One

    Corona: Tanzania kuzuia chakula na bidhaa zingine kupelekwa Kenya

    Point of correction bruh, in African countries famine is not caused by shortage of supplies but inasababishwa na siasa mbaya, ufisadi na utumiaji mbaya wa mamlaka. Kama tunavyoona sahizi Uhuru na Magufuli wanapo ongea maneno yao hawafkiri watu wamapato ya chini na athari zake.
  10. Civilian One

    Corona: Tanzania kuzuia chakula na bidhaa zingine kupelekwa Kenya

    😄 😄 😄 Naongeza msistizo never argue with a fool, mpakani wakulima wapo wanaoweza leta bidhaa zao sokoni.si lazima nchi nzima ilime ndio watuuzie,think 🤔
  11. Civilian One

    Corona: Tanzania kuzuia chakula na bidhaa zingine kupelekwa Kenya

    Si eti tumenyamaza, if you argue with a fool chances of becoming a fool is high. Think before you leap. It work both ways, bila biashara mimi ntakosa bidha wewe utakosa hela thats it. Khabari ya kufunga mipanga hiyo is beyond our control kiufupi ni siasa. Na kuhusu masoko mimi binafsi niko...
  12. Civilian One

    Nikutafute kwa jina gani maarufu mtaani kwako?

    Magufuli kenyatta
Back
Top Bottom