Recent content by Civil Eng

  1. C

    Urgent: Natafuta nyumba ya kupanga, Bajeti 200,000 (Kinyerezi, Kimara, mbezi Africana ingependeza zaidi)

    Mkuu hata sijapata, wajuba wengi wenye nyumba wanaokaa miezi 6. Dah nami nitajenga zangu kulipia ni mwezi mmoja mmoja kwa kila anayetaka
  2. C

    Urgent: Natafuta nyumba ya kupanga, Bajeti 200,000 (Kinyerezi, Kimara, mbezi Africana ingependeza zaidi)

    Mkuu huyu manzi anasema yupo Arusha na hata hafanyi hizi mambo. Check vizuri namba
  3. C

    Urgent: Natafuta nyumba ya kupanga, Bajeti 200,000 (Kinyerezi, Kimara, mbezi Africana ingependeza zaidi)

    Check vizuri namba, nimempigia kasema hajui lolote kuhusu nyumba
  4. C

    Urgent: Natafuta nyumba ya kupanga, Bajeti 200,000 (Kinyerezi, Kimara, mbezi Africana ingependeza zaidi)

    Wakuu kwema? Wakuu natafuta nyumba ya kupanga, mkataba nakokaa umeisha. Hali ya uchumi imeyumba hivyo nimeona sitaweza kulipa pesa nayolipa hapa, hivyo natafuta nyumba ya nusu bei ya hapa. Iwe na vyumba viwili vya kulala, jiko, sebule, dinning room, choo, bafu, umeme wa kujitegemea, maji na...
  5. C

    Natafuta Primary English medium school

    Asante sana mkuu, ila huko mbali sana asee
  6. C

    Natafuta Primary English medium school

    Sorry wakuu, hapo kwenye Peanut please isomeke Pwani. JF kulikoni sioni kitufe cha kuedit??
  7. C

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Dah, kwangu leo Lingard naomba achukue MOTM, dogo kakaza mno leo. Dogo mpambanaji si kitoto. Tumgonge sita huyu kama alivyofanya Man city.
  8. C

    Anayejua Ofisi za Bodi ya korosho Dar, msaada

    Habari wakuu, Kama kichwa cha habari kilivyoeleza. Natafuta location ya ofisi za bodi ya korosho Dar, au kama kuna mtu yeyote mwenye mawasiliano na yeyote anayefanyia bodi ya korosho hata aliyeko Mtwara head office. Natanguliza shukrani.
  9. C

    Weekend Story! Glory Be To God!

    Nipo na plate yangu hapa.
  10. C

    Natafuta kazi Civil engineer

    Asante mkuu
  11. C

    Natafuta kazi Civil engineer

    Asante mkuu, nakurushia sasa hivi.
Back
Top Bottom