Recent content by City Accountax Associates

  1. City Accountax Associates

    Kodi katika shughuli za kilimo

    Habari za zenu! Napenda leo kushea makala hii ndogo niliyoiandaa inayozungumzia masuala ya ulipaji wa kodi katika shughuli za kilimo. Na nimeona niilete makala hii hususani katika jukwaa letu pendwa la kilimo, ufugaji na uvuvi kwani kuna baadhi yetu tunaamini hatustahiki kulipa kodi kutokana na...
  2. City Accountax Associates

    Tahadhari: Lifts(Elevators) zinaweza kuua!

    Kama ile ya kule HQ ndo maana umewekewa tangazo kabisa baada ya muda wa kazi usiitumie! Otherwise ukipanda baada ya muda wa kazi itakuwa at your own risk!
  3. City Accountax Associates

    Msaada kwa anaejua Tax ( kodi) vzuri

    Kwanza ungeliweka swali lako vema ueleweke wewe unafanya biashara katika muundo wa kampuni au mtu binafsi? Kama mtu binafsi mauzo yako ni sawa au zaidi ya mil 20? Ukiachana na hayo, katika kuandaa hesabu za mizania kodi utaipata kutoka katika sehemu mojawapo ya mahesabu ya mizania, ie hesabu za...
  4. City Accountax Associates

    Mambo muhimu ya kuzingatia katika uendeshaji wa kampuni

    Inategemea na makubaliano baina ya kampuni yako na mkaguzi husika. Na huu ndiyo mfumo zuri zaidi wa kufanya kazi kama part time. Muda pia ni mambo yanayojadilika kutokana na nature ya biashara Reach New Heights
  5. City Accountax Associates

    Mambo muhimu ya kuzingatia katika uendeshaji wa kampuni

    1. Kuanzisha kampuni kwa mtaji mdogo Kwa mujibu wa sheria za usajili wa kampuni 2002, mtaji unaanzia sh 20,000 tu. Hivyo hiyo mil 2 ni kubwa kwani hata kiusajili ipo daraja la pili kati ya mil 1 hadi mil 4.99. Hivyo huo sio mtaji mdogo 2. Je ufanye nini kwa biashara hiyo? Nakushauri biashara...
Back
Top Bottom