Recent content by cimque

  1. C

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Deni liko palepale Sent using Jamii Forums mobile app
  2. C

    Mwanamke kama ulipangiwa kuolewa, utaolewa tu hata na miaka 50

    ziadi ya miaka 50,mmh imekula kwake tu
  3. C

    Serikali ya Kenya kuwaajiri madaktari kutoka Tanzania, Uhabeshi na Cuba

    kama madaktari wa tanzania watahakikishiwa usalama wao itkuwa vyema kabisa
  4. C

    Serikali ya Kenya kuwaajiri madaktari kutoka Tanzania, Uhabeshi na Cuba

    umsema kweli,jambo jema hao waliogoma huko watakuja tanzania kufidia pengo hilo,hapo ni zaidi ya udungu
  5. C

    Serikali ya Kenya kuwaajiri madaktari kutoka Tanzania, Uhabeshi na Cuba

    nakumbuka na jinsi navyo fahamu watanzania hawana mgomo,waadilifu wazalendo kama wakiajiriwa hutasikia mgmo hata siku moja
  6. C

    Serikali ya Kenya kuwaajiri madaktari kutoka Tanzania, Uhabeshi na Cuba

    tanzania wata subiri wengine mwaka huu zaidi ya 800 wanagraduate,muhimu kuokoa maisha ya wakenya ndugu zetu
  7. C

    Serikali ya Kenya kuwaajiri madaktari kutoka Tanzania, Uhabeshi na Cuba

    hapo umesema vyema tunahamu kubwa kuwahudumia ndugu zetu
  8. C

    Serikali ya Kenya kuwaajiri madaktari kutoka Tanzania, Uhabeshi na Cuba

    Kwa sasa tanzania Kuna madaktari zaidi ya 1500 wako mtaani,toka 2015 hii fursa njema kesho tunasubiri ajira hiyo hao wapumzike tu,it's not ethically patient die in pain while their fellow standing aside and look!!! its brutality,
  9. C

    Gari mpya ya kifahari ya Diamond Platnumz

    naona kama used
  10. C

    Harmorapa Fans' Special Thread...

    kipi bora kuimba ama kupiga marimba vyote utasikika tu
Back
Top Bottom