Had kufikia hapo kwa maono yang huyo mwanamke hana upendo na ww na Ana mtu ambae alikuw anahutaji uhuru wa kuwa nae.
Lakin ww piah ushapoteza upendo na huna imani nae hata kidogo so ucjaribu force.
Chamsingi sas kabl hamjafika Tena mbali inabd ww kuwa mkweli na muwaz kukubar kuweka na...
Maarifa na Mtaji ni vitu ambavyo vinategemeana kweny suala zima la utafutaji.
Kwan mtaji(pesa) ndo unakup nini ukitafutie maarifa kwani kipo ndani au nje ya uwez wako.
Coz dunia ya sasa hivi maarifa yanauzwa je una pesa ya kuyamudu hayo maarifa unayoyahitaji???
Na hat ukiyapat una uwezo au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.