Mie ni Baba yangu haijawahi kupita siku sijamkumbuka, alivyokuwa Hai nilikuwa nachukulia poa sana daaah siku alivyoondoka kwanza ilikuwa kama ndoto, maumivu yalikuwa makali sana na pengo lake daima haijawahi kuzibika mwaka wa sita huu lakini kila siku ni kama jana, Allah ampe pepo na amsamehe...
Sasa hapo wakulaumiwa ni TRA au kampuni ya simu? ni sidhani ulichoandika kama ni kweli maana sioni mtandao wowote ukichaji hivyo. Benki ya Tanznia mwezi uliopita tu imeweka ukomo wa chaji kwenye miamala ambapo kiwango cha chaji mwisho ni 5,000. Na kwa 20,000 kiwango cha chaji ni 1,000 hivyo kama...
Ndugu yangu usije stress za bure pambania maisha yako, hakuna dunia inayoendeshwa na masikini. Elon Musk alitumia dola ngapi kwenye uchaguzi uliopita wa Marekani na akapata nini?kaangalie biggest funders wa Republican na Democrats uone waametoa dola ngapi na jinsi gani wananufaika na michango...
Huyu alilelewa Umamani kwake ambao ni wakristu baadae ndo akaja kwa Baba yake akiwa amkubwa tayari, Baba yake alikuwa Tutuo amefariki mwaka jana au mwaka huu kama sikosei.
Ni kosa ila tatizo kuthibisha hilo kosa mahakamani ndo kimbembe labda kama unataka tu kumsumbua mtu kwenda na kurudi mahakamani mwisho wa siku mahakama itamuachia huru tu
Hili ndo nilikuwa nasema watu wanataka watu wapandishwe kizimbani kwa mihemko tu hawajui mahakamani ni ushahidi usio shaka ndo unasimama, kwa hiii kesi kumkuta na hatia huyu mama ni kazi sana maana inabidi ueleze kinaga ubaga chain yake na hao watu na uthibitishe kuwa yeye aliwatuma jambo ambalo...
Kodi ya ardhi inalipwa Ardhi, hii ni kodi ya pango au property tax hiyo inalipwa TRA japo mwanzo ilikuwa inaenda halimashauri Magu akabadili sheria ikapelekwa TRA
Nguruvi3 Soma taratibu umesoma ukiwa na maoni yako na itikadi yako mpaka unapoteza uwezo wako mkubwa wa ujengaji wa hoja. Paskali amesema kuhusu upekee wa muungano wetu kuwa wenyewe ni Union cum federation ndo uadimu wake huo. Amesema Tanganyka ilikuwepo ila ikawa replaced na Tanzania Bara ila...
Kaka Paskali kwa heshima na taadhima swala Mwembe chai halihusiani na Mwinyi lilitokea 1998 kipindi cha Mkapa, watu wameumizwa pale kwa dhulma si sawa kusema hivi kwa kebehi.
Leo umeyatimba umeyakanyaga umewasema Malaika kazi unayo, kiukweli kwa uwezo wako wakuandika na kuchambua huwa nashangaa sana wewe kuwa na tumaini na CHADEMA. Tena saa hii wamechagua Populism instead of proper party investing on policies ndo kabisa hawafai. Angalia tu aina ya watu iliyo wajenga...
Zanzibar unaijua Mzee au unazungumza tu unadhani Zanzbar tofauti kazileta Seif, Maalim kapokea tu kijiti soma historia tofauti ya Zanzibar ni zaidi ya Maalim Pemba hata kama kiongozi atakuwa nani misimamo yao haibadiliki kwa miaka michache hivyo hivyo Unguja tofauti zao ni za zaidi ya kisiasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.