Nmeletewa samsung a21 simple haichaji mime chunguza nikagundua charging ic ndio shida kuipata ikawa ngumu ikabidi niunge battry direct lakini changamoto ni kuwa batty inachajiwa ila simu haionyeshi chaji mpaka udisconnect battery na urudishe ndio unaona limefikia wapi ila ukiiacha inatumika...
Magufuli alituachia laana hatuto toboa mpaka mapinduzi raia mtapiga kelele viongozi wana panga yao kwa maslahi yao raia tunatumika kutimiza ndoto zao tunahitaji kiongozi mwenye uwezo wa kusema akasikilizwa kama kim wa korea lasivyo kelele za palestina hazimtetereshi muizraeli bali ni mavumbi matupu
Hujaelewa mimi najua kuna hizi simu za sasa ukifuta kitu kina hifadhiwa kwenye recycle bin kwa siku 30 ndio kina disappear ndio maana nikaenda kuzifuta kule ndio nika kutana na zakwake alizo zifutaga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.