Dah m nilimkuta na mtu mwingine ila kwa kweli mapenzi ya zamani yalikuwa matam sana tofauti na siku hizi.
Nakumbuka mtoto alikuwa anaitwa JANE nilimwelewa na alinielewa sana yaan mtoto ukikaa nae hivi unajikuta unapata amani ya moyo.
Lakini ndio siko moja napita zangu kwenda shambani kati ya...
Binadamu wote tunakosea ila mbora ws wakoseaji ni yule anapobaini kosa au mienendo isiyoridhisha anarud Kwa Mungu kwa Toba.
Pia mambo yote tuyatendayo mengine ni kutokan na kuindekeza nafsi na wala haiana maan kuwa hayawezekani kuachika.
Iambie nafsi yako iachane nayo hayo mambo na mwenyeewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.