Hizi gari ndogo ambazo watu wanakimbilia kununua kwa ajili ya kupunguza gharama ya mafuta, spea zake ni ghali, hata hivo kama unategemea kuitumia labda kwa mwaka 1 au mwaka 1 na nusu halafu ukaiuza kabla haijaanza kusumbua ni vizuri, sio gari ya kutumia Muda mrefu: vits ni imara zaidi ya march...
Mungu wangu! Wamekubaliwa kuchimba URANIUM ktk nchi ya Wajinga kama hii! Tujiandae na madhara Makubwa, nchi za wenyeakili na pesa madhara yake wanashindwa kuyadhibiti, itakuwaje kwetu? Wamehongwa sh ngapi?
Hatua sahihi ni zipi, kama walishapewa maagizo hawajatimiza? Unajua mazingira yanayoharibika ni yetu sote? Unafikiri hela wanazokusanya ni zetu sote? Acha u CCM wako"
Ki ukweli tunahitaji sana mapinduzi na sio mageuzi, tumpate kiongozi kama mwalimu au mugabe nk. Tuwafukuze makaburu, tuwakamate wahujumu uchumi, tuwanyang'anye kila walichoiba tujipange tuanze upya;
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.