Habari zenu wanajamvi nimekuja jukwaani kutangaza nafasi kama wewe ni muwekezaji au mfanyabiashara ofisi ipo na kila kitu ni ofisi ya uwakala wewe njoo na mtaji wako na kodi ya miez 6 ikipungua hata miezi 4 sio mbaya kila mwezi ni 70k ukifika nakupatia
Laini zote za simu kasoro simu labda...
Habar zenu waungwana nimekuja kutangaza fursa ya kazi kijana mwenye uzoefu wa biashara ya tigopesa wa kike au wa kiume awe anaishi Tabata anicheki, ofisi ipo Segerea.
Kama una ndugu yako kikubwa awe muaminifu mwambie anichek malipo ni 50/50 commision kikubwa ajitume.
Call 0627218573
Anahitajika msichana wa kusimamia ofisi ya miamala ya Tigopesa.
Vigezo
awe na uzoef kwenye kazi hiyo au uzoef katik tasnia ya uwakala.
awe mtu wa kujituma na mwenye lugha nzuri kwa watu wote.
asiwe mtu wa hasira au dharau.
awe na uwezo wa kujisimamia mwenyewe na kupangilia mambo katka ofisi...
Kuna mzigo mtaani unaitwa Zuzu hiyo ni app ya kuchezesha hizo app zao zikuletee wateja unaweza ukawa k/koo msimbaz lakini uka cover mpak posta mpaka buguruni kigogo yani ukachukua large area mtu akirequest anakupata wewe kwanza hata akiwa mbali vp ila awe kwenye hizo location ambazo umezichagua...
Kaka kama ni mkristo nadhani utakuwa ushaisikia sana hii kauli ya petro "Tukisema hatuna dhambi twajidanganya na wala kweli haipo ndani yetu hivyo yatupasa kutubu kila wakati" sina hakika kama nimequote vyema ila huo mstari upo hivyo hakuna mtu asiye na dhambi hata mchungaji mwenyew hali ya kuwa...
Mkifanikiwa kufungua ofisi zenu videographer wa kukodishwa nipo hapa nafanya editing na kushika camera pia bila kusahau music video pia mimi ni director uzoef wa miaka minne kwenye tasnia pia nawakaribisha wale ambao wanapataga connection za kaz unaweza ukaichukua kaz kisha ukanichek ukanikod...
Habari za majukumu wakuu
Natanguliza shukrani kwenu kama kichwa cha habari kinavyojieleza hii biashara nimekuwa nikiifikiria kwa baadae ila naitafutia mtaji kwa sasa hivyo kama unajua taratibu za kufata tunakuomba uje utupe white hapa ili kama kuna mwengine anawaza hii biashara bas ajue pa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.