Recent content by chuma cha reli

  1. chuma cha reli

    Mpingo: Black is beauty

    Umakondeni himejaa kibao
  2. chuma cha reli

    Je kuna ulazima kwa kuwatoboa pua na masikio watoto wachanga?

    Mara ya kwanza hata Mimi nilikuwa nashangaa sana lakini baade nikaja kugundua ni tamaduni na mazoea ya kijinsia pia kumfanya Mtoto wa kike kujua urembo ni sehemu ya maisha yake mfano kuna Mkoa flani nimewai kukaa yaani kila mwanamke ametoboa pua
  3. chuma cha reli

    Wanawake wa Kichaga wapewe maua yao!

    Miaka ya nyuma nilikuwa nafanya kazi kwenye kampuni Moja iliyokuwa inashughulika na mambo ya kuaandaa harusi, nilifanya utafiti wangu nikagundua katika asilimia 100 ya harusi zinazofanyika Dar basi aslimia 70 ya wanawake wanaoolewa ni kutoka uchagani wakafatiwa na Waha asilimia 10 hizo...
  4. chuma cha reli

    Unaweza kula ugali na nyama ambayo haijaungwa?

    Kuna siku tulikula ugali na mboga tukakoroga uji sitakuja kuisahau hii siku
  5. chuma cha reli

    Baba mkwe hataki nimrudishe mwanae anasema atamkanya kwa mara ya nyingine

    Unajua kuna vitu ni vya aibu sasa unaanzaje kujadili udhaifu wa Mke wako kwa baba yake( mkweo) naisi tatizo lilianzia hapo mkeo hawezi kukanywa na baba yake maana huko hayupo tena bali wewe ndio unaishi naye na unapaswa kuishi naye kwa akili kama biblia ilivyosema Sometimes usiwachukulie...
  6. chuma cha reli

    Ndoto ambazo nimekuwa nikiziota kwa muda mrefu sasa na kiukweli zinanitesa sana

    Hiyo ndoto ya kwanza tafsiri yake ni kuna hatua Moja kubwa sana utaipiga hivi karibuni either kwenye ajira yako au kifamilia. Hiyo ndoto ya pili tafsiri yake ni kuna deni kubwa katika maisha yako bado hujalimaliza, hivyo kaa chini ujiulize ni jambo gani ambalo inatakiwa ulitimize
  7. chuma cha reli

    Mke amwomba mme alale na mtu mwingine ili wapate mtaji

    Hii ni movie ya kitambo sana inaitwa Indecent Proposal tena muhusika anaitwa Demi Moore What a coincidence..
  8. chuma cha reli

    Ukiona Dalili hizi jua uzee ndio huo unabisha mlangoni

    Hapo kwenye kutaka umoja ndio kwenyewe kabisa kuna dingi yangu mmoja maisha yake yote alijitenga na watu sasa amezeeka ndio anataka umoja eti watu tupendane...
  9. chuma cha reli

    Dragon fruits mdogomdogo inaanza ingia sokoni

    Tulianza na aloe vera,mafuta ya ubuyu, mayai ya kwale, almond,mbegu za maboga,mkojo wa sungura,kilimo cha nyoka, Tikiti elfu 1 kwa eka, ufugaji wa mende na sasa tumefika kwenye Kilimo cha Dragon Job kweli kweli.
  10. chuma cha reli

    Chuo cha TIA kwanini mnawatia wazazi na wanafunzi hasara?

    Huo ni utapeli wa kuaminika, fungueni kesi mahakamani kudai fidia na kupotezewa muda
  11. chuma cha reli

    Tabia ya mke kusambaza habari kutoka ndani kwake, je ni sahihi?

    Huyo Mke bado hajatoka kwenye himaya ya familia yao, na inawezekana wewe kwa aina ya matusi na kejeri unazompa ndio zinazomfanya aone bado hajaingia kwenye himaya ya familia yenu, hivyo anatafuta relief kutoka familia yao. mfanye aone nyinyi ni familia moja na mambo yenu yaishie kwenye kuta za...
  12. chuma cha reli

    Mapenzi na Siri zake za ovyo

    Usimchunguze bata kijana...
  13. chuma cha reli

    Mwanamke wangu ananishurutisha sana nibebe pochi yake barabarani

    Iyo yote ni kwa sababu Me ni kichwa na Ke ni shingo, sasa jiulize kichwa kinaweza kugeuka bila shingo... Btw simamia msimamo wako kama Me
Back
Top Bottom