Recent content by Chum Chakavu

  1. Chum Chakavu

    Bado sijapata jibu biashara gani nifanye kwa kipindi hiki hapa dar

    Wana twitter tunaita "Direct message" nyie huku mnaita "Private Messag"
  2. Chum Chakavu

    Bado sijapata jibu biashara gani nifanye kwa kipindi hiki hapa dar

    Wana twitter tunaita "Direct message" nyie huku mnaita "Private Messag"
  3. Chum Chakavu

    Bado sijapata jibu biashara gani nifanye kwa kipindi hiki hapa dar

    Biashara zipo nyingi tu njoo dm nikupe maujanja na msingi wako hautazidi hata milioni tatu mkuu. Unapiga hela fresh tu
  4. Chum Chakavu

    Kuanzisha biashara

    Kama upo Dar chukua hiyo laki moja nenda pale karume lenga mashati kwa bei ya 2000 kisha mida ya saa nne sogea mpaka kkoo tafuta sehemu iliyochangamka ongea na wenyeji watakukodisha eneo la kumwaga. Piga debe kwa bei ya 5000 utakua umeingiza sh 3000 kwa kila shati moja. Baada ya wiki tuletee...
  5. Chum Chakavu

    Natafuta kazi ya upishi

    Umeshapata mkuu au bado
  6. Chum Chakavu

    Natafuta Partner wa Biashara ICT General

    Vp kwa mtu ambaye hafahamu chochote kuhusu ict lakini anaweza kuwa na msingi wa kuanzisha hicho unachokihitaji. Makubaliano yanasemaje
  7. Chum Chakavu

    Mtaji mgumu kwa sie haohehaha

    Mungu ni wetu sote usikate tamaa kikubwa uhai na uzima tu. Kabla hujatazama aliye juu yako tazama aliye vhini yako kwanza
  8. Chum Chakavu

    Biashara ya kukaanga mihogo

    Asante sana kwa wazo lako. Nalifanyia kazi ndugu yangu
  9. Chum Chakavu

    Funga domo lako kama unataka kuishi ukirudi Saudi Arabia

    Ni taifa la kiislamu ndiyo ila aliyetenda huu unyama ni binadamu. Kuna tofauti kubwa kati ya uislamu na binadamu. Uislamu huongozwa na Quran na Sunna ila binadamu hufanya jambo kwa kutumia utashi wake. Walichokifanya Saudia hata katika kitabu cha Quran ni dhambi kuvwa sana mbele ya Mwenyezi Mungu
  10. Chum Chakavu

    Biashara ya salon za kiume na kike

    Amina karibu sana mkuu
  11. Chum Chakavu

    Biashara ya salon za kiume na kike

    Zungumza nao vzr. Usitumie lugha kama boss bali zungumza nao vzr kwa lugha ya kirafiki. Pia kama unapata nafasi si vibaya kumaliza siku ukiwa hapo ili kujionea mwenyewe biashara inaendaje. All the best mkuu
  12. Chum Chakavu

    Biashara ya salon za kiume na kike

    Mkuu hapo kwanza ungetuambia kama umeajiri watu au unanyoa mwenyewe. Kwa ufahamu wangu mdogo ni kwamba vinyozi wengi wanapohama saloon huhama na wateja wao. Kama unanyoa mwenyewe tengeneza kwanza mtandao wako wa wateja ila kama umeajiri jaribu kuzungumza na vinyozi wako.
  13. Chum Chakavu

    Biashara ya kukaanga mihogo

    Asante sana mkuu naenda kulifanyia kazi soon usijali likiwa tayari nadhani mtakuwa watu wa kwanza kupata taarifa
  14. Chum Chakavu

    Biashara ya kukaanga mihogo

    Asante sana mkuu kwa motisha yako.
Back
Top Bottom