Ni wanaume hawa hawa (wale wasiokimbia majukumu ya ubaba) wakija kubahatika kuzaa watoto wa kike, mitazamo yao inageuka haraka sana. Watataka binti zao wasome wawezeshwe wafike sehemu hawahangaiki kutegemea mwanamme amtunze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.