Recent content by Chujio

  1. Chujio

    JamiiForums Tanzania Nilichoshuhudia Kariakoo leo kimenifurahisha mno

    Ipo poa sana..tujuzane tuwapige akina junia picha kali na post za kurusha roho instgram
  2. Chujio

    JamiiForums Tanzania Nilichoshuhudia Kariakoo leo kimenifurahisha mno

    Swali zuri sana, akijibu niite atuwekee na bei kabisa
  3. Chujio

    JamiiForums Tanzania Kitambi kinakuja kwa kasi, nini tatizo

    Yaani, vere seksi. Sio unakutana na mtu mkavu ukiegesha kichwa kama umelalia tofali unasikia matumbo tu yanajinyonga
  4. Chujio

    JamiiForums Tanzania Kitambi kinakuja kwa kasi, nini tatizo

    Karibu kwenye mwili wa ki mubaba
  5. Chujio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu mwanamke yukoje

    Huyu mwanamke loyal, tulikubaliana mwanamke unabalansi mafiga matatu usibabaishwe na mmoja. 1. Pesa 2. Mkazo 3. Wa kutamba nae 😂
  6. Chujio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu mwanamke yukoje

    Looh, umekuja kunianika humu?
  7. Chujio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ili Mwanaume afanikiwe Kifedha, amani na utulivu lazima aoe

    Ni kweli
  8. Chujio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Faida za Michepuko Kwa Mwanaume Katika Ndoa.

    Ha ha haaa mnafikiri wake zenu hawana michepuko? Wakulana vizuri na kufuta midomo ..kimya kimya wanakuchoreni tu
  9. Chujio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Heshima ya mwanamke wa sasa ipo wapi?

    Ni wanaume hawa hawa (wale wasiokimbia majukumu ya ubaba) wakija kubahatika kuzaa watoto wa kike, mitazamo yao inageuka haraka sana. Watataka binti zao wasome wawezeshwe wafike sehemu hawahangaiki kutegemea mwanamme amtunze
  10. Chujio

    JamiiForums Tanzania Tuambizane ukweli, hivi ulishakutana na bonge mwenye roho mbaya au chuki zisizoeleweka?

    😂😂😂😂😂😂😂 au sio, roho kavu kama walivyo
  11. Chujio

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Nazungushwa kupata Mafao baada ya Mkataba wa kazi kumalizika, naambiwa niliacha kazi

    Mkataba ukiisha hamna haja ya kuandika barua ya notice.. pole sana
  12. Chujio

    JamiiForums Tanzania KERO Abood mnatukosea sana Abiria wenu

    Dah, pole sana
  13. Chujio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania “Wanaume Kuwahi Kuoa: Ukomavu Kiakili au Presha Kutoka kwa Walimwengu?”

    Kitu watu wengi wasichofahamu nikuwa kwaliti ya mbegu hufifia umri unavyosonga hata kwa wanaume... tafakari, chukua hatua
Back
Top Bottom