Recent content by Chujio

  1. Chujio

    Hili jambo la wazazi kukataa wapenzi wa mabinti zao!

    hii ilinitokea miaka kadhaa nyuma.. moyo ulivunjika, nilisikitika sana kipindi hicho. Ila sasa nimekua, nadhani nawaelea zaidi wazazi sasa kuliko kipindi kile nimezibwa macho na mapenzi. Nakumbuka zaidi baba alikuwa hataki kumsikia kabisa, na mama pia lakini mama alijitahidi kuonesha kuwa upande...
  2. Chujio

    Bebe Anatakiwa kuwa.....

    hahahahaa! kila la heri
  3. Chujio

    Ungepewa nafasi uchague

    Anayenipenda.. alinipenda nikajifunza kumpenda mbele ya safari na sasa tupo tunapendana
  4. Chujio

    Leo yamenikuta, sirudii tena

    Amedai evolution ilimpita pembeni ikabidi niulize:confused:
  5. Chujio

    Leo yamenikuta, sirudii tena

    Alikuwa na kwato?!
  6. Chujio

    Mwanamke Umejitunza Sanaa, Sawa but Where Is Your Happy Ending? Part 3. Yamkuta Mazito.

    Katika mazingira na hali nyingine tunazokutana nazo, all we say is "fix it Lord" maana there's nothing more that can be done to make it better, unajikusanya maisha yaendelee
  7. Chujio

    Nani mwimbaji bora wa Gospo wa mda wote Tanzania?

    Christina Shusho
  8. Chujio

    Natafuta mchumba

    ..Anayejua kuxoma? Usichekeshe taifa, Mbona wewe hujui kuandika?
  9. Chujio

    Huu ni unafiki katika mapenzi, kwanini uliamua kuwa nae?

    We make alot of excuses in the name of love.. tunasahau unachokiona ndicho unachopata
  10. Chujio

    Wanawake wa sikuhizi hawajishughulishi kitandani

    Hahahaaa..mbona umekuja kumsemea kwetu, si umwambie?!
  11. Chujio

    Tanzia: Mtoto wa Mtoboasiri afariki dunia

    Pole sana kwa kufiwa, Mungu akupe nguvu katika kipindi hiki kigumu
  12. Chujio

    Ushauri: Mtoto wangu wa nje ya ndoa kapewa baba mwingine

    Unataka kipi kati ya haya: -mtoto? -utambulike kama baba wa mtoto? -uharibu mahusiano aliyonayo sasa?
  13. Chujio

    Ukweli mchungu: Ndoa bila watoto sio ndoa

    Mmmmmh.. wapo wenye vizazi vyao, kila kitu kipo sawa na mtoto bado asipatikane. Hawakukosea kusema mtoto/watoto ni majaaliwa. Kitu kingine, pamoja na mtoto/watoto, mwisho wa siku wanakuwa na kuondoka nyumbani, mnabaki wawili mnatazamana. Kinachotakiwa upendo bwana katka ndoa hiyo, watoto wawepo...
Back
Top Bottom