hii ilinitokea miaka kadhaa nyuma.. moyo ulivunjika, nilisikitika sana kipindi hicho. Ila sasa nimekua, nadhani nawaelea zaidi wazazi sasa kuliko kipindi kile nimezibwa macho na mapenzi. Nakumbuka zaidi baba alikuwa hataki kumsikia kabisa, na mama pia lakini mama alijitahidi kuonesha kuwa upande...
Katika mazingira na hali nyingine tunazokutana nazo, all we say is "fix it Lord" maana there's nothing more that can be done to make it better, unajikusanya maisha yaendelee
Mmmmmh.. wapo wenye vizazi vyao, kila kitu kipo sawa na mtoto bado asipatikane. Hawakukosea kusema mtoto/watoto ni majaaliwa. Kitu kingine, pamoja na mtoto/watoto, mwisho wa siku wanakuwa na kuondoka nyumbani, mnabaki wawili mnatazamana. Kinachotakiwa upendo bwana katka ndoa hiyo, watoto wawepo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.