Telexfree ni moja ya njia ambayo unaweza pata hela kwa kupost tangazo online....unajoin kwa usd 400 amayo utakuwa unalipwa usd 20 kila wiki...kuanzia siku uliyojiunga, au usd 1500 unalipwa dola 100 kila wiki na kuendelea...
but nakushauri uingie forever kuliko huko, mimi niliingia nikatoka, coz...
kuna watu wanadesa hadi mambo ya ajabu tatizo, unakuta mdada anapost picha za utupu instagram...sijui ndo kuwa fashioned, mi sielewagi kwa kweli, jaribu kusearch jmosha instagram,utanielewa ninachomaanisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.